Nampenda boss wangu aliyeniajiri

Nampenda boss wangu aliyeniajiri

Kama unampenda kweli akikuambia utagegeda baada ya ndoa upo tayari au unataka ugegede tu uongeze list?!
 
mwe mwe mwe!dogo acha kabisa huo mchezo,kama kuna wakati unaingizia masuala ya mapenzi yeye anakurudisha kwenye masuala ya kazi jua kwamba,havutiwi kuongea na wewe mambo hayo,cha kukusadia usije ukamwambia chochote kuhs kumpenda,ila tumia sana lugha ya vitendo,bila maneno yoyote yale,mjali mdhamini,msaidie kazi zake,mpe kipaumbele,kuwa nae karibu,ila usije kuonyesha kuwa unamtaka,hlo ni kosa kubwa,mwache yeye akuhisi kwamba unampenda,ipo siku ataanza stori za ajabu ajabu,utajua sasa anaanza kunasa,
Ahsante mkuu, nami ntachanganya na zangu baada ya kuambiwa
 
Kijana tafuta maisha, tafuta maisha...umepata sehemu ya kukuingizia kipato, usiifanye sehemu ya kutafutia starehe.

Unaweza kuzitawala hisia zako, unaweza kutafuta nje ya ofisi na ukapata mwanamke mzuri wa tabia na sura. Usijiingize katika mapenzi na mfanyakazi mwenzako, hasa bosi wako, utaharibu kila kitu...!!
 
Yaani ondoa Kabisa hayo mawazo km unaipenda kazi yako.. Binafsi huwa ni mcheshi sana nawapenda Vijana wangu wa kazi yaani yule anaejituma huwa nakua nae mstari wa mbele kwa kila jambo lihusulo kazi sasa kosa akosee anitamkie ujinga wake huwa anapoteza kazi bila kutarajia.. Kimekupeleka kazi hayo mengine yanatoka wapi.. Angekuwa anakutaka km unavofikiria siku ulipomualika dinner haraka sana angekuja... Angeacha kufua.. Pia umemsifia anajua kupika akakujibu atapika siku yake na staff wote wakiwepo.. We jilegeze km hufukuzwa wakati kazi unaipenda ondoa Hilo wazo akilini Kabisa muheshimu kwakua ni boss wako... Najua hujampenda isipokuwa umemtamani.. Jihadhari..
 
tumia mbinu ya macho kumshawishi,muangalie sana,ila tumia akili,asije akakuona msanii,ipo siku atakuuliza,mbona unapenda sana kuniangalia?mjibu,hata mimi sijui kwanini ila uwa hii hali inajitokeza yenyewe,labda kuna kitu,mwenyewe ataanza kujihs kwamba unampenda,n,k n,k,dah yaan mwanangu ukiwa na uzoefu na hao viumbe,watakupenda mpaka mwenyewe utaanza kuogopa,akili tu sio nguvu wala uchawi,
 
Nakuonea huruma sana the hebu badili mwelekeo.. Achana na kuongozwa na hisia kijana be serious na kz.. Unapoteza kz.. Na kuambia mimi ni boss huwa sipendi masihara ya kijinga... Je umewahi kusafiri na ndege ziendazo nje ya nchi ukiona wahudumu wanavyokuhudumia na kukujali utazani wanakutongoza. Acha masihara fanya kazi
 
Mkuu apo zaid ya yy kufunguka mwenyew hakuna namna nyingine yakudeal na feelings zako,,kua mpole by the way sio kila ambae una hisia nae lazma uwe nae,,,utaaribu kaz be smart
 
Habari za jioni guys,

Tafadhari naomba mnisaidie katika ili, naomba niseme wazi mimi siyo timbulo.

Miezi mitatu iliyopita nimeajiliwa na kampuni moja hivi hapa mjini, hiyo kampuni ni ya wahindi na huyo dada ndo HR wa hii kampuni. Baada ya kuajiliwa nilimtumia ujumbe (txt) kumshukuru kwa kuona mimi naweza kufanya nao kazi, akanijibu kwa text akinileza ni jambo la kawaida katika maisha kikubwa ni focus kwenye kazi.

Katika mazingira ya kawaida nimejikuta naanza kumpenda kimapenzi na ninahisi hata yeye ananipenda pia, kwanini nasema na yeye ananipenda pia? Kuna siku tulikuwa na event hapa ofini kwetu mialiko ikatolewa kwa watu mbalimbali na nikamwalika rafiki wangu mmoja wa kike siyo mpenzi wangu wakati wa hafla ikiendelea nilikuwa na huyo rafiki yangu muda mwingi akanifata na kuniuliza mbona umemganda sana huyu dada, kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akamjibu ni wifi yetu huyo, akajibu muwe mnasema jamani akaondoka.

Kesho yake ofisini ikawa story kuhusu mimi na huyo wifi yao waliyenipatia.

Siku nyingine ikatokea safari nje ya mjini ya siku mbili tukatoka mimi, yeye na dereva jioni sasa wakati wa kutafuta hoteli ya kulala, bahati mbaya hotel tulipoenda tukakuta nafasi moja tu yeye akaichukua mimi na dereva tukaenda kutafuta mahali pengine tukaagana turudi pale tukishapata ili tukale chakula pamoja tukakubaliana hivyo.

Muda mchache akanipigia simu akakuta simu inatumika naongea na mtu, baada ya kukata akanipigia tena na akaniuliza ulikuwa unamuaga wifi nini? Na siyo mara moja kuniuliza hivyo nikamjibu mimi nipo single akacheka akaniuliza mmepata room nikamwambia yah! Akasema mje basi.

Nisiwachoshe ni mambo mengi sana, naomba mnisaidie ni jinsi gani ya kumfikishia ujumbe kuwa nampenda maana naogopa maana naweza kumweleza hilo jambo likazua mambo mengine mabaya maana natafuta maisha, niliwahi kumwalika chakula cha jioni akaniambia amechoka siku hiyo ana kazi ya ufuaji hivyo haitowezekana kwa siku hiyo

Uwa nachat nae na kumpigia simu nikitaka kuongelea hayo mambo uwa ananirudisha kwenye maswala ya kazi hata kama hamko kazini

Kuna siku nikamtext wasup kuwa kuna zawadi nimekununulia akataka kuijua zawadi nikamwambia no utaijua siku nikikupatia akasema poa!

Na uwa ananiambia anajua kupika sana, nikamuomba apike siku moja anialike akasema atapika siku ya kuzaliwa kwake na atatualika staff nzima nikamuuliza itakuwa lini? Hakuniambia akasema ni suprise, sasa nikawaza niifanye siku hiyo ya kumweleza hisia zangu kwa kumpelekea zawadi itakayokuwa inasema hisia zangu kwake je ni ipi wadau nisaidieni nampenda sana.
Mkuu jipange kimaisha ukiendekeza mapenzi utakuja kuvurugwaa. Usinyee mahali unapopatumia kwa kula chakula
 
Habari za jioni guys,

Tafadhari naomba mnisaidie katika ili, naomba niseme wazi mimi siyo timbulo.

Miezi mitatu iliyopita nimeajiliwa na kampuni moja hivi hapa mjini, hiyo kampuni ni ya wahindi na huyo dada ndo HR wa hii kampuni. Baada ya kuajiliwa nilimtumia ujumbe (txt) kumshukuru kwa kuona mimi naweza kufanya nao kazi, akanijibu kwa text akinileza ni jambo la kawaida katika maisha kikubwa ni focus kwenye kazi.

Katika mazingira ya kawaida nimejikuta naanza kumpenda kimapenzi na ninahisi hata yeye ananipenda pia, kwanini nasema na yeye ananipenda pia? Kuna siku tulikuwa na event hapa ofini kwetu mialiko ikatolewa kwa watu mbalimbali na nikamwalika rafiki wangu mmoja wa kike siyo mpenzi wangu wakati wa hafla ikiendelea nilikuwa na huyo rafiki yangu muda mwingi akanifata na kuniuliza mbona umemganda sana huyu dada, kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akamjibu ni wifi yetu huyo, akajibu muwe mnasema jamani akaondoka.

Kesho yake ofisini ikawa story kuhusu mimi na huyo wifi yao waliyenipatia.

Siku nyingine ikatokea safari nje ya mjini ya siku mbili tukatoka mimi, yeye na dereva jioni sasa wakati wa kutafuta hoteli ya kulala, bahati mbaya hotel tulipoenda tukakuta nafasi moja tu yeye akaichukua mimi na dereva tukaenda kutafuta mahali pengine tukaagana turudi pale tukishapata ili tukale chakula pamoja tukakubaliana hivyo.

Muda mchache akanipigia simu akakuta simu inatumika naongea na mtu, baada ya kukata akanipigia tena na akaniuliza ulikuwa unamuaga wifi nini? Na siyo mara moja kuniuliza hivyo nikamjibu mimi nipo single akacheka akaniuliza mmepata room nikamwambia yah! Akasema mje basi.

Nisiwachoshe ni mambo mengi sana, naomba mnisaidie ni jinsi gani ya kumfikishia ujumbe kuwa nampenda maana naogopa maana naweza kumweleza hilo jambo likazua mambo mengine mabaya maana natafuta maisha, niliwahi kumwalika chakula cha jioni akaniambia amechoka siku hiyo ana kazi ya ufuaji hivyo haitowezekana kwa siku hiyo

Uwa nachat nae na kumpigia simu nikitaka kuongelea hayo mambo uwa ananirudisha kwenye maswala ya kazi hata kama hamko kazini

Kuna siku nikamtext wasup kuwa kuna zawadi nimekununulia akataka kuijua zawadi nikamwambia no utaijua siku nikikupatia akasema poa!

Na uwa ananiambia anajua kupika sana, nikamuomba apike siku moja anialike akasema atapika siku ya kuzaliwa kwake na atatualika staff nzima nikamuuliza itakuwa lini? Hakuniambia akasema ni suprise, sasa nikawaza niifanye siku hiyo ya kumweleza hisia zangu kwa kumpelekea zawadi itakayokuwa inasema hisia zangu kwake je ni ipi wadau nisaidieni nampenda sana.
Bosiiiii[emoji12] [emoji12]
 
Fanya kazi Acha habari za mapenzi kazini especially ukiwa mgeni,tumia muda wa mwanzo kujenga reputation yako hapo ofisi mpya kuwa wewe ni mtu wa kazi, smart,loyal,dependable nk
Huwa napenda kusoma mazingira kwanza walau by 6 months kuendelea unajua nani ni nani hapo ofisini, baada ya mda ukishazoea watu mbona umbea wa ofisi nzima utaujua,usikurupuke kijana
Ukute anatembea na watu kibao badae ukijakujua aibuuu
Weka kazi mbele for now mapenzi badae,
 
Mrushie picha za mechi kali kali ili akujue nawe wataka kucheza mpira kama hao halafu sikiliza mziki utafuata
 
Habari za jioni guys,

Tafadhari naomba mnisaidie katika ili, naomba niseme wazi mimi siyo timbulo.

Miezi mitatu iliyopita nimeajiliwa na kampuni moja hivi hapa mjini, hiyo kampuni ni ya wahindi na huyo dada ndo HR wa hii kampuni. Baada ya kuajiliwa nilimtumia ujumbe (txt) kumshukuru kwa kuona mimi naweza kufanya nao kazi, akanijibu kwa text akinileza ni jambo la kawaida katika maisha kikubwa ni focus kwenye kazi.

Katika mazingira ya kawaida nimejikuta naanza kumpenda kimapenzi na ninahisi hata yeye ananipenda pia, kwanini nasema na yeye ananipenda pia? Kuna siku tulikuwa na event hapa ofini kwetu mialiko ikatolewa kwa watu mbalimbali na nikamwalika rafiki wangu mmoja wa kike siyo mpenzi wangu wakati wa hafla ikiendelea nilikuwa na huyo rafiki yangu muda mwingi akanifata na kuniuliza mbona umemganda sana huyu dada, kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akamjibu ni wifi yetu huyo, akajibu muwe mnasema jamani akaondoka.

Kesho yake ofisini ikawa story kuhusu mimi na huyo wifi yao waliyenipatia.

Siku nyingine ikatokea safari nje ya mjini ya siku mbili tukatoka mimi, yeye na dereva jioni sasa wakati wa kutafuta hoteli ya kulala, bahati mbaya hotel tulipoenda tukakuta nafasi moja tu yeye akaichukua mimi na dereva tukaenda kutafuta mahali pengine tukaagana turudi pale tukishapata ili tukale chakula pamoja tukakubaliana hivyo.

Muda mchache akanipigia simu akakuta simu inatumika naongea na mtu, baada ya kukata akanipigia tena na akaniuliza ulikuwa unamuaga wifi nini? Na siyo mara moja kuniuliza hivyo nikamjibu mimi nipo single akacheka akaniuliza mmepata room nikamwambia yah! Akasema mje basi.

Nisiwachoshe ni mambo mengi sana, naomba mnisaidie ni jinsi gani ya kumfikishia ujumbe kuwa nampenda maana naogopa maana naweza kumweleza hilo jambo likazua mambo mengine mabaya maana natafuta maisha, niliwahi kumwalika chakula cha jioni akaniambia amechoka siku hiyo ana kazi ya ufuaji hivyo haitowezekana kwa siku hiyo

Uwa nachat nae na kumpigia simu nikitaka kuongelea hayo mambo uwa ananirudisha kwenye maswala ya kazi hata kama hamko kazini

Kuna siku nikamtext wasup kuwa kuna zawadi nimekununulia akataka kuijua zawadi nikamwambia no utaijua siku nikikupatia akasema poa!

Na uwa ananiambia anajua kupika sana, nikamuomba apike siku moja anialike akasema atapika siku ya kuzaliwa kwake na atatualika staff nzima nikamuuliza itakuwa lini? Hakuniambia akasema ni suprise, sasa nikawaza niifanye siku hiyo ya kumweleza hisia zangu kwa kumpelekea zawadi itakayokuwa inasema hisia zangu kwake je ni ipi wadau nisaidieni nampenda sana.
Hivi hata probation period umemaliza kweli???
 
kwa kuwa nilikuwa nafanya uchunguzi tabia yako basi kwa niaba yako namfikishia ujumbe kuwa umeomba ushari wa kumpata yeye

tambua wewe n mwanaume dhaifu
 
Watu wa namna yako huwa nashindwa kuwaelewa. Mpendane huko, maamuz na ushauri uje kuchukua huku. Jimalize mwenyewe, unadhani uanaume una gharama ndogo?
 
Back
Top Bottom