robby klax
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 283
- 122
Sio kazi kuacha kazi kazi kuipata focus kz chali angu afu tafuta wa hadhi yako shaur yako
Hahahahaha kweli maana kwenye mapenzi kuna ugomvi wa apa na pale utakucost be care.Mkuu kabla hujafikisha ujumbe,tafuta kwanza kazi sehemu nyingine kama back up.
.Acha kabisa kufanyia kazi huo upuzi MkuuNitalifanyia kazi mkuu.
Kaka, badilika. Haya maneno si njema.we mgeni na mapenzi na ukipata challenge utateseka sana, wala huyo mwanamke hakupend hayo mazingira yasikuchaganye yachukulie kawaida wanawake ndivyo walivyo, we chapa kazi kwa bidii maku zipo kibao na usiwe kinganganizi.
Tafuta mwanamke mwingine na fanya jitihada afahamu kuwa unamwanamke, response atakayoionyesha itajulikana kama anakupenda kweli au laa. akikasirika jua alikua na mipango na wewe na hata kama alikua na mipango na wewe haimaanishi itadumu forever, kwa kua kashikilia usukani we temana nae ukiona anajileta sana mwambie siku mkigombana kibarua chako kitakua katika hali gani?
wanawake hawatabiriki ndugu yani kila kukicha wana stail mpya.
Mfano uke akichuchumaa upo chini, akiinama upo nyuma, akilala chali upo mbele, akitembea upo chini akiweka miguu juu upo juu, akikaa upande na uke pia unakua upande so kuwa makini ndugu we achana nae jikaze hisia zako kiume ikishidikana kamalize hata haja zako kwa punyeto au malaya kabisa ila utumie condomu
Mimi ndio ninavyoelewa mkuu.Kaka, badilika. Haya maneno si njema.
Hahahahahahwe mgeni na mapenzi na ukipata challenge utateseka sana, wala huyo mwanamke hakupend hayo mazingira yasikuchaganye yachukulie kawaida wanawake ndivyo walivyo, we chapa kazi kwa bidii maku zipo kibao na usiwe kinganganizi.
Tafuta mwanamke mwingine na fanya jitihada afahamu kuwa unamwanamke, response atakayoionyesha itajulikana kama anakupenda kweli au laa. akikasirika jua alikua na mipango na wewe na hata kama alikua na mipango na wewe haimaanishi itadumu forever, kwa kua kashikilia usukani we temana nae ukiona anajileta sana mwambie siku mkigombana kibarua chako kitakua katika hali gani?
wanawake hawatabiriki ndugu yani kila kukicha wana stail mpya.
Mfano uke akichuchumaa upo chini, akiinama upo nyuma, akilala chali upo mbele, akitembea upo chini akiweka miguu juu upo juu, akikaa upande na uke pia unakua upande so kuwa makini ndugu we achana nae jikaze hisia zako kiume ikishidikana kamalize hata haja zako kwa punyeto au malaya kabisa ila utumie condomu
Ahsante kwa ushuri mkuu.