Namna ya kupunguza upweke nyumbani

Kwa mwanaume kukabiliana na upweke, ukitoka job pitia kijiweni usiende gheto direct pata kahawa kidogo, cheza draft na wagosi , shika stick sukuma sukuma pooltable, ukiona bado unajihisi mpweke nenda kanunue PS , nunua external jaza movie kali ambazo hazijatafsiriwa alafu ndani weka chupa mbili tatu za mvinyo uone kama utakua mpweke.

Ukishindwa kabisa tafuta mwanamke wa kukupigia makelele ila awe anakupa utelezi kukuponya nafsi


Mwanamke kukabiliana na upweke ni kuolewa na kuzaa watoto pamoja na kumtii mumewe
 
Mimi nyumbani kwangu eneo kubwa zaidi nimelitenga la viumbe hai (Nyumba imechukua robo ya eneo na the rest ni mimea na wanyama na ndege)
Kuna nyasi, migomba, miti ya matunda, miti ya vivuli, bustani za mboga na maua nimeanza kujenga mabanda mazuri kabisa ya kuku, bata, bata mzinga, sungura (hawa tayari wapo), mbwa tayari wapo pia, kuna kitenga vya kasuku pia na maboxi ya njiwa.
Mji wa aina hii bado ukiwa mpweke we tena basi!
Mana kuanzia asbh naamka ninatoka banda hili, naingia lile, naenda mgomba huu mara mpera ule.
Sijawahi hisi upweke nikiwa nyumbani!
Haya ndio ma8sha ambayo nayataka niyaishi kuanzia miaka michache huko mbeleni.

Letsay natafuta eneo langu kando ya mji na naamua nitafia huko kwamba yawe makazi yangu rasmi ya kudumu.

Huko nitapanda kila aina ya tunda na zao.

Mihongo,nazi,maembe,matembele,kufuga kuku,bata,ng'ombe japo wawili watatu na mbuzi japo wawili watatu.

Then kajumba katakuwa ni kavyumba vichache tu kama vitatu hivi.

HApo tena eneo linalobaki ni kulipamba kwa mazoa mengine kama mipapai,mahindi,mbaazi na kunde.

Then natengene,a bustani nzuri kabisa ya kupumzikia na kusomea vitabu na kupiga stori na wageni.

Upweke kwangu ni kukosa cha kufanya na sio kuwa peke yako muda mwingi.

Unapokosa cha kufanya unakuwa huoni raha ya maisha na usipoona raha ya maisha unaanza kuona maisha yanaboa,ukianza kuona maisha yanaboa maana yake unakaribisha upweke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom