Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Wana MMU, je mpenzi/mwenzi wako anavyoitika unapomwita inaongeza/athiri heshima na upendo katika mahusiano yenu. How do you feel.
Kwa mwanaume, unajisikiaje mke/mpenzi wako ukimwita akaiika, "nakuja, au eeeh, unasemaje au abee/bee"
Kwa mwanamke, umemwita mme/mpenzi wako naye akaiitika, "eeh, unasemaje nakuja au naam"
Je itikia ya "naam na abee/bee" ni kwa ajili ya watoto tu na si wakubwa
Hiyo hapo juu ni mifano tu ya jinsi watu wanavyoitika wakiitwa.
Kwa mwanaume, unajisikiaje mke/mpenzi wako ukimwita akaiika, "nakuja, au eeeh, unasemaje au abee/bee"
Kwa mwanamke, umemwita mme/mpenzi wako naye akaiitika, "eeh, unasemaje nakuja au naam"
Je itikia ya "naam na abee/bee" ni kwa ajili ya watoto tu na si wakubwa
Hiyo hapo juu ni mifano tu ya jinsi watu wanavyoitika wakiitwa.