Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,816
- Thread starter
- #21
Hapo ndo alipofeli, Angekaa kimya hamna ambae angeanza kumchungunza.sifa za kijinga. .zimemponza
Hapo ndo alipofeli, Angekaa kimya hamna ambae angeanza kumchungunza.sifa za kijinga. .zimemponza
Niki on an tuna avant a ujanja anawaibia wazungu mabillionnhuyonndionnamtakanmaana anarudisha sehemubtulioibiwa na wazungu. Wananigeria huwa nawakubali sana wameendeleza nchi yao kwa kuwaibia wazungu kama sehemu ya kurudisha fedha za afrikaNimesoma hii habari jana kwenye daily mail,yani jamaa wamemkuta ndani na 30m USD....bumba la balaa,alafu jamaa anatuhukiwa ku-scam watu wa ulaya USA zaidi ya 350m US dollars.
Niki on an tuna avant a ujanja anawaibia wazungu mabillionnhuyonndionnamtakanmaana anarudisha sehemubtulioibiwa na wazungu. Wananigeria huwa nawakubali sana wameendeleza nchi yao kwa kuwaibia wazungu kama sehemu ya kurudisha fedha za afrika
ngoja nimfuatilieHuyu jamaa ana akili sana, sema hakuwa na akili timamu za kuzungusha pesa zake. Blood fool. Afu angeachana kabisa na mamitandao. Kenge kabisa