Namkataaje mwanaume nisiempenda?

Namkataaje mwanaume nisiempenda?

Hivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?

Naombeni ushauri......
Muombe pesa milioni 5 ya vipodozi
 
Muite kwa jina lake…

Kisha mwambie.. I see no future btn me and you. Hayo mambo ya hujui kesho ni nini, em tulia. Kesho ni Alhamis.
Simple as that.
Usijichekeleshe na emoj.
Wewe una udole wa kumkataa hivyo mwanaume aliyekuhonga pakubwa akala padogo?

Kuna watu wakipenda huamua kujifirisi, potelea kwa mbali!

Kataa ya namna hiyo itaswihi kwa mtu hohehahe, tena asiye serious.

Mimi ukinikataa kirejareja namna hiyo waalah ninakuoa kwa njia halali ama haramu.
 
Hivi namkataaje mwanaume ambaye simpendi na sioni future nae bila kum-offend asikasirike, na nataka nibaki kuwa nae friends tu cause siwezi jua the future anaweza kuwa msaada wa mambo mengine (sio mapenzi)?

Naombeni ushauri......
We mwenyewe unamtaka ila sio kwa saiv ndo mana mwili na akil vinabishana cha Muhm muonjeshe then ukimuitaj kwa chcht atakuwa tayar maana hawara hana taraka
 
...hahah kwamba humpendi afu unataka awe rafk ako... Inakuaje mtu humpendi jamani tena unataka... dah!... muulze INSIDER MAN Akupe mbinu tunazotumiaga sis wanaume kuwakataa kiaina... Afu ufanye kuzichange ziwe opposite...
 
...nna rafk angu wa kike nimemuomba awe friend plus wangu ... Af ni member lakn huwa ana log out kila wakat... Sijui ni wew... acha tu nshaumia tayar kitendo cha kuona thread...
 
Muite kwa jina lake…

Kisha mwambie.. I see no future btn me and you. Hayo mambo ya hujui kesho ni nini, em tulia. Kesho ni Alhamis.
Simple as that.
Usijichekeleshe na emoj.
Kesho ni alhamisi cio [emoji28]
 
Back
Top Bottom