hujamuelewa Dark City yaani anamaanisha ninaomboleza kumiss huzzy kwa muda mrefu wa mwaka. so wewe unanishekesha ili hali bado dawa sijaipata.
Afadhali umenijibu haraka nilikuwa nakuja chumbani kwako kufanya check and balance...................mm mwenyewe nimeshangaa maana jana nimeongea nae na hajambo, na anasema pia kakumiss sana kushinda hata wewe......na kweli tukapima kwa kutumia kipima joto na ikaonekana yeye amekumis zaidi............heeeeee Dark City kidogo niwe nyuma ya wakati!!!
Last edited by a moderator: