Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,948
- 146,182
"Anna Makinda akishinda hiyo kesho Iringa inaingia katika rekodi ya kutoa Spika kwa mara ya pili katika historia yaalikuwa Mhehe na Anna Makinda ni Mbena, wote ni hao hao".
Maggid article hii kidogo ina walakini siamini kama umeiandika kwa hisia za ukabila lakini hukufanya utafiti wa kina na kujiuliza je mhaya ama mkurya akisoma habari hii ataielewa vipi? Ninachokushauri jaribu kuweka hypothesis kabla hujaandika habari, lengo ni kuelemisha jamii.
Hii ni kauli iliyojaa haiba za "political correctness' za kisomi. Ndiyo maana unaona maneno kama "siamini" "kidogo" "walakini" "hisia" etc.
Kwa sie tusotaka kuremba mara nyingine tunaweza kurahisisha ujumbe zaidi.
Majjid, acha ukabila ! Huyo Nyerere unayesema kumuiga akiona utumbo huu atachefuka.