Kigarama, JF was ment to be the home of Great Thinkers, great Mind. Simple Mind discuss people, ordinary mind discuss events na great mind discuss ideas.
Kuna kitu kinaitwa freedom of information, freedom of expression na the right to information.
Freedom of information ni uhuru wa kupata habari zozote unazozitaka kama unavyolitumia jukwaa la JF kutembelea popote iwe ni kwenye siasa uchumi sheria au mambo ya kikubwa, huu ni uhuru, hivyo pia uko huru kutembelea blog yoyote utakaiona inakufaa iwe ni michuzi, mjengwa, JF au hata ze utamu, uhuru ni wako.
Freedom of expression ni uhuru wako binafsi kujieleza kuhusu jambo lolote, kutoa maoni, mtazama, mweleleko wako binafsi kuhusu chochote, kwa kifupi ni uhuru wa kusema chochote, kuhusu lolo, na popote bila kuvuka mipaka au kuingilia uhuru wa mtu mwingine. Hiki ndicho kina mjengwa, michuzi na wengine wote wanachokifanya, ni haki yao.
The right to information, hii sio uhuru, hii ni haki, sio option bali ni obligation. Ukiikosa haki hii, unauwezo hata kuidai mahakamani, maana hii ni moja ya stahili zako.
Kinachofanywa na michuzi na mjengwa na jf katika kutoa habari ni just a favour na sio right, sasa wengi wenye mitazama tofauti, wanataka kuigeza favour kuwa right, na hapo hapo kutaka kuzifanya opinion zao ndizo right, which is wrong.
Michuzi na blogu yake ni yake, hata kama atashinda saa 24 akiimba nyimbo za kusifu na mapambio kwa CCM, bado ni haki yake, na kama ni kweli, anapata manufaa fulani kwa kujikomba komba kwa CCM, au kwa JK kupata trip za nje, hivyo ni haki yake, ndio njia yake ya kuendesha maisha yake, tusimwingilie, huku ni kuingilia uhuru wake.
Vivyo hivyo kwa mjengwa na wengine, huu ni uhuru wao. Mwachenii Mjengwa atoe maoni yake atakavyo na kuendesha blog yake apendavyo, nasi tutumie uhuru wetu kutembelea blogs tuzipendazo, ziko maelfu kwa maelfu!.
Free