Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,281
- 2,423
Comrade umenichekesha...yaani juzi mabeberu wamesema tupo lower middle income economy.... YaaniHii ipo kwa mawakala wa mabeberu (chadema)wakala wa mabeberu ana chukua fomu kwa kutumia wakala,
Comrade umenichekesha...yaani juzi mabeberu wamesema tupo lower middle income economy.... YaaniHii ipo kwa mawakala wa mabeberu (chadema)wakala wa mabeberu ana chukua fomu kwa kutumia wakala,
Kusema na kuwa wakala wake Ni vitu viwili tofautiComrade umenichekesha...yaani juzi mabeberu wamesema tupo lower middle income economy.... Yaani
Rudi kwenye Mada Jomba usinitoe nje ya mstari. We unamjua aliyepiga risasi ya Akwilina alikuwa amekaa wapiKama iliyompiga Akwilina..ilienda juu ikashuka chini kisha ikakata kona hadi kwenye gari na kumfuata Akwilina. Awamu yetu ya 5 imejaa miujiza hii. Kama ni ya kishetani Mungu anajua cha kufanya.
Ila walichosema Serikali imekitambua na kukipigia vigelegele .Kusema na kuwa wakala wake Ni vitu viwili tofauti
Umeshasema mashirika na mabalozi hiyo ni kutimiza tu matakwa ya kimataifa, Ila shida inakuwa pale unapokuwa wakala wa mabeberu kutumika dhidi ya nchi yako, mfano wa lisu zito kwenye madini Ni laana mbaya sanaIla walichosema Serikali imekitambua na kukipigia vigelegele .
Alafu hivi kwanini tunakua na mashirika,makampuni na balozi za hizo nchi za kibeberu?
Wafukuzwe tu
Mawakala wa mabeberu ni mashirika,taasisi,na balozi au ili naro ulijui comrade.!Pia kuna mawakala waliokua wanamfunga Lissu kisa anawatetea wananchi wanao ishi karibu na Migodi.Ili unarijua?Umeshasema mashirika na mabalozi hiyo ni kutimiza tu matakwa ya kimataifa, Ila shida inakuwa pale unapokuwa wakala wa mabeberu kutumika dhidi ya nchi yako, mfano wa lisu zito kwenye madini Ni laana mbaya sana
Mbona toka comment yangu ya kwanza uliyo Ni qoute nimesema wazi,na nasema Tena chadema na act Ni mawakala wa mabeberu hilo liko waziMawakala wa mabeberu ni mashirika,taasisi,na balozi au ili naro ulijui comrade.!Pia kuna mawakala waliokua wanamfunga Lissu kisa anawatetea wananchi wanao ishi karibu na Migodi.Ili unarijua?
Mwisho,mawakala wa mabeberu walitengeneza mikataba hiyo hiyo ya kibeberu wakiongozwa na Serikali inayo ongozwa na CCM.
PILI ata mikataba ya sasa ni ile ile tu kilichobadirika ni jina basi
Ni kweli ila CCM ni mawakala wa udikteta ili naro hamna wa kubishia kabisa.Mbona toka comment yangu ya kwanza uliyo Ni qoute nimesema wazi,na nasema Tena chadema na act Ni mawakala wa mabeberu hilo liko wazi
Hakuna zambi mbaya Kama ya usaliti lisu mwisho wake utakuwa mbaya sana na zito piaNi kweli ila CCM ni mawakala wa udikteta ili naro hamna wa kubishia kabisa.
tulia sindano ikuingie haswaa.Anajisumbua tu!
Kwahiyo comrade mtafanya kama Azory na Saanane?Hakuna zambi mbaya Kama ya usaliti lisu mwisho wake utakuwa mbaya sana na zito pia
Bado mitano mingine atarudi huko huko kwenye ndoa ya jinsia moja!tulia sindano ikuingie haswaa.