Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
- Thread starter
- #41
Hata angewekwa Husnino au missj bado tunge sema tunamkubali!! Jf wote nindugu moja ndiyo maana tunaitwa ma thinker,wanajamvi,wanamageuzi nazaidi wote tunatumia lugha adhimu na tamu ya kiswahili!! Nampa pongez bw katavi, Heading yako mh uliyeanzisha mada inakinzana na mitazamo ya dunia ya tatu yakizazi cha nyoka!
mimi sina noma! mwenye kuelewa vibaya aendelee kuelewa vibaya mwenye kuelewa vizuri aendelee kuelewa vizuri! Kwani kupenda ninini?