Nakupenda lakini umechelewa

Nakupenda lakini umechelewa

Duh maskini!!! Sipati Picha huyo Dada atavyoumia!!! Hu! Hu ! Hu!! Pole yake maskini! Haya mambo ya dini huwa magumu loh
 
nilikuwa nampenda sana yule kiumbe ila kilichotokea ni kwamba nilifanya vile faster kuondoa mawazo maana sikutegmea kama ingekuwa vile maana nilijiaminisha 100% atakuwa mke wangu, so ningeendelea kuwa mpweke nahisi ningeathirika zaidi
lakini si bado ulikua ukiwasiliana nae???
 
ni mara chache sana mara ya mwisho ilikuwa february kabla hajanitafuta tena tarehe 10mwezi huu
kwa hiyo wakati mnaendelea kuwasiliana ulikua unajua bado anatry kuwashawishi wazazi wake kuhusu hiyo issue?

ulimwambia kua umegive up na aendelee na life lake au ukapata mzulu mkaanzisha mahusiano bila ya kumwambia chochote huyo baby mama wako
 
in short alikuwa ananitafuta anapokuwa na shida may b ya pesa au ni mgonjwa nimsaidie chochote na insue ya kusema kama anawashawish wazazi hakuwah kuniambia isipokuwa aliniambia anataka kutoroka ili anifate south africa but mimi niliktaa nilimwambia kutoroka sio solution ndo tukaishia hapo
 
Back
Top Bottom