Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Utaenda kunipa tabu tu wewe hata sikutaki
hahahah usinibanie bhana
Utaenda kunipa tabu tu wewe hata sikutaki
kwenye ukame ndo unanikumbukaga sikupendiiiiii
Hahahahahaah orayt....... Ila usisahau mahawara hawaachani.Babu babu pliiz....kukupa nafasi ya kunichepusha sikumaanisha kuwa mume wangu simpendi....naomba uondoke kwa amani
Jamani jamani jamani......... rudisha moyo unipende mtoto wa mwanamke mwenzio.
mi namwita Makomana kwani kuna dhambi,we kama sio ka pembeni, miss strong picha la mazombie cinema hall linaanza Khantwe mi sina shida na wewe ulisha nipa mengi kwa ID ileeee Ntuzu a.k.a wakusindikiza mwaka wako miss chagga dawa ya moyo ni kuche....? mi natulia hapa nawatch hii conversion kwenye LCD connected na hdml via pc na mrembo tumboo akiwa anachezea hela mezani koho koho
Sijaelewa hapa
Sijaelewa hapa
Mimi mwenyewe nlishindwa kuelewa mpendwa
Nauliza kama badiebey ashatajwa humu nisimtaje tena,
tokaaaaaa mbayaaaas
Umelazimishwa kuniangalia?
una akili kweli?
jua we zoombie
watu wanaona mpaka vinyesi bila kulazimishwa sembuse kiumbe ka wewe
We acha tu ndugu yangu...akili sina af zombie duuh
huna ndiyo kama unayo niambie
akili ni nini?