Aiseee ....!!
Sujui kwanini roho inaniuma
Hebu fanya jambo ili nipoe!
For????
List ya kula tu Kipupwe lakini dearest!!!
Keep on waitingIf you say so,i believe ......
Waiting ....!!
Paroko wa ukoo wa Gwajima.... si wa kuaminika sana. Usije ukasema sijakuonya..............Ha ha ha sio rahis muulize Eiyer akuambie
Ananiwatch closely hawez kufungasha hiyo ndoa...
Ananijali baba paroko sana
OMG!!! Hata kwa huyu ICHANA niliyemvumbua kama dhahabu. Paroko nionee huruma usiteleze. Niko tayari kukuachia Khantwe umtumie utakavyo.Babu ODM,nikipata kigugumizi kwenye hili utanilaumu kweli?
Namwamin paroko wangu
.wewe ndo huaminiki
Na mm nasema sikutaki kabisaa babu wewe baki na huyu khantwe. Si ulisema unampa hela ya mafao yako ya uzeeni
Bora paroko ale kondoo wake