Nakupenda a.k.a I love you!

Nakupenda a.k.a I love you!

Namwamin paroko wangu
.wewe ndo huaminiki


Na mm nasema sikutaki kabisaa babu wewe baki na huyu khantwe. Si ulisema unampa hela ya mafao yako ya uzeeni
Bora paroko ale kondoo wake
Hata usiponitaka, sitakata tamaa. Iko siku nitafanikiwa.....

Niko nimekaa siti ya nyuma huku............
 
Babu najua kuwa wewe ndie uliyemvumbua,lakini kwakweli usinilaumu kabisaaa na hili hata Kaizer ataniunga mguu kabisa na sio mkono

Huyo Khantwe ana ka ukorofi ambako sisi maparoko hatuwezi kuwa na huyo ...lol
Hebu fanya makalatee umtwae na huyu ICHANA uniachie kabisa!
Ikiwa umeona kuwa ni vyema, basi na ikafanyike kama alivyotaka bwana.

Sasa waweza niruhusu mtumishi wako nienende kwa amani kabla sabato haijaanza?
 
Ikiwa umeona kuwa ni vyema, basi na ikafanyike kama alivyotaka bwana.

Sasa waweza niruhusu mtumishi wako nienende kwa amani kabla sabato haijaanza?

Enenda kwa amani na kamwe usiache kuwakagua wajukuu ili uone kama wamefuzu vigezo vya kuitwa mama fulani!
 
Namwamin paroko wangu
.wewe ndo huaminiki


Na mm nasema sikutaki kabisaa babu wewe baki na huyu khantwe. Si ulisema unampa hela ya mafao yako ya uzeeni
Bora paroko ale kondoo wake

Una akili sana wewe .....

You deserve something sweet from me!
 
Enenda kwa amani na kamwe usiache kuwakagua wajukuu ili uone kama wamefuzu vigezo vya kuitwa mama fulani!

Amina...Amina.

Nasubiria pazia la hekalu lipasuke ili yapate kutimia....
 
Babu najua kuwa wewe ndie uliyemvumbua,lakini kwakweli usinilaumu kabisaaa na hili hata Kaizer ataniunga mguu kabisa na sio mkono

Huyo Khantwe ana ka ukorofi ambako sisi maparoko hatuwezi kuwa na huyo ...lol
Hebu fanya makalatee umtwae na huyu ICHANA uniachie kabisa!

Aah paroko nna ukorofi gani Mrs Ntuzu mie?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom