Nakupenda a.k.a I love you!

Nakupenda a.k.a I love you!

Najua yote Hiyo unataka akunong'oneze kua anakupenda a.k.a love you!

La mkosaji: kwi kwi kwi kwi kwi

we kichwa maji kwasababu mi nishajilia kabla

la msemaji:kwe kwe kwe kwe
 
Hahahahaaaaa Mkuu kiwatengu mambo Mkuu?

Habari za masiku Mkuu?

Duh!!! Mkuu tafadhali sn Nakuomba badae pitia ofisini kwangu pale mitaa ya Samora uchukue bahasha Fulani uwapelekee watoto zawadi! Maana umetokeza huku na CAMERA YAKO YA UDUKUZI USIJE UKATUTOA KWENYE GAZETI LAKO LA UDAKU NEXT EDITION TENA FRONT PAGE! please fanya hivyo so iwe imekufa!

ha ha ha....mkuu wasukuma ni ndugu zangu sana.
nimefanya kazi Pale Kishapu takribani miezi 8...
ha ha ha kamera sijabeba mkuu...
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha....mkuu wasukuma ni ndugu zangu sana.
nimefanya kazi Pale Kishapu takribani miezi 8...
ha ha ha kamera sijabeba mkuu...


Mkuu kiwatengu pamoja sn Mkuu!

Wapi Tized Mkuu? Timu Bado haijakamilika! Maana ata binti mtukutu miss chagga anashindwa kutimua vumbu sn! Lkn soon tutakua nao Hawa wapendwa wetu!

Tized Mr Rocky nawapenda sn wakuu!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Waweja sana Baba!!! Asante sana ndugu yangu.

Nakushukuru Mkuu Ntuzu, Niko salama sana, Hofu kwako Bro.
Msalimu sana Mkuu kiwatengu na mchumba anayekuchomoka kila siku miss chagga



Mkuu Tized nashukuru sn Mkuu kwa uwepo wako!

Mi niko Pouwa Mkuu! Nafikiri Muda so mrefu tutakamilika tena!

miss chagga Hana nyimbo mpya tena mbele ya Khantwe

Pamoja sn Mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Nashukuru kaka kukusikia tena.
Yeah.. Mr Rocky nadhani naye atarejea siku si nyingi.
Khantwe ndio kiongozi wa mbio za mwenge wako siku hizi? Haki yanani miss chagga urudi tu kijijini ukalime ndizi sasa. Ntuzu alikua anatutunza sana sisi mashemeji hata kiwatengu ni shahidi ,mwaminifu kenye hili... sasa umekata kamba masikini ya JK sijui inakuaje tena... uuuwiiiiii.... Kaka ntakupa dada yetu mwingine ngoja nimlie timing kwanza.
miss chagga umetukatia riziki ujue?
Mkuu Tized nashukuru sn Mkuu kwa uwepo wako!

Mi niko Pouwa Mkuu! Nafikiri Muda so mrefu tutakamilika tena!

miss chagga Hana nyimbo mpya tena mbele ya Khantwe

Pamoja sn Mkuu!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom