Nakupenda a.k.a I love you!

Nakupenda a.k.a I love you!

Yaani tabu kweli jamaa yangu Ntuzu, hamo olishiwe JIGONA! Jamaa anashinda ndani tu kama 'jigona' na ukimwambia juu ya mke wake unakiona cha moto, dah!!


Nami nimewamisi sana dada zangu mwallu na miss neddy, ng'ojimelelilehe igete?

hahahaha umeona tumekula hasara lol
 
Last edited by a moderator:
Mke wangu hachepuki alikua anapiga story tu!

Mbona wewe Yule mura aligawa mauwa Mekundu na akatangaza mabinti wampe no za M-PESA zao awajazie fwedha mbona sikusema Shemeji anachepuka!?

hahahaha afu nishampa talaka yake ujue
 
Yaani tabu kweli jamaa yangu Ntuzu, hamo olishiwe JIGONA! Jamaa anashinda ndani tu kama 'jigona' na ukimwambia juu ya mke wake unakiona cha moto, dah!!


Nami nimewamisi sana dada zangu mwallu na miss neddy, ng'ojimelelilehe igete?



Yani mimi nilifikiri wewe ndugu Yangu tena mwanaume mwenzangu utakua na nafuu! Lkn ndo kwanza umeungana na dada zako miss neddy mwallu kunipiga vita! Alafu unaseme nimelishwa limjusi la ndani(JIGONA) na kaa ndani tu km mjusi wala sifanyi kz!

Yani bora dada Yangu Honey Faith Hana shida!
Tokwisanga do kokaya! Si Bado na wewe dada zako hawajakubarikia!
 
Last edited by a moderator:
hahahaha umeona tumekula hasara lol



Nikona mnazidi nahama nchi! Bora twende mbali msituone kabisa!

Maana sisi twapendana Alafu Nyie mwadai LIMBWATA NA MWINGINE ANASEMA NIMELISHWA JIGONA a.k.a mjusi nashinda ndani tu!

Na Kazini siendi naacha kabisa bora nikae na Mke wangu nyumbani!
 
molamola modoho...



Hahahahaaaaa Mkuu kiwatengu mambo Mkuu?

Habari za masiku Mkuu?

Duh!!! Mkuu tafadhali sn Nakuomba badae pitia ofisini kwangu pale mitaa ya Samora uchukue bahasha Fulani uwapelekee watoto zawadi! Maana umetokeza huku na CAMERA YAKO YA UDUKUZI USIJE UKATUTOA KWENYE GAZETI LAKO LA UDAKU NEXT EDITION TENA FRONT PAGE! please fanya hivyo so iwe imekufa!
 
Last edited by a moderator:
Ila wewe dada Yangu miss neddy ????!!!!!

Unakumbuka wewe huyo Ndio uliniambia mimi niwe na wifi yako? Mbona unabadilika?

wifi mwenyewe hanipendi tena afu anamuudhi udhi mwalu hajui sisi ni two in one mwallu akikasirika mi nalia kabisa lol
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaa Mkuu kiwatengu mambo Mkuu?

Habari za masiku Mkuu?

Duh!!! Mkuu tafadhali sn Nakuomba badae pitia ofisini kwangu pale mitaa ya Samora uchukue bahasha Fulani uwapelekee watoto zawadi! Maana umetokeza huku na CAMERA YAKO YA UDUKUZI USIJE UKATUTOA KWENYE GAZETI LAKO LA UDAKU NEXT EDITION TENA FRONT PAGE! please fanya hivyo so iwe imekufa!

Hahahahah....
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom