Nakupenda a.k.a I love you!

Nakupenda a.k.a I love you!

Hahahahah.....my husband Ntuzu unanikoshaga hapo tu....unawapatia haswaaa hawa dada zako. Nashukuru kwa msimamo wako honey vinginevyo ndoa yetu ingeshaota mbawa...
 
Last edited by a moderator:
Hivi unakumbuka ni mara ngapi umeshawahi kulitamka hilo neno kwenye maisha yako kwenye suala la mapenzi?

Je unamkumbuka wa kwanza uliyemuambia hivyo?

Yupo wapi sasa?


Damn .......
Nikimkumbuka wa kwanza kumuambia hivyo leo ni muke ya mutu na ana watoto .....

Halafu nimeshawahi kulisema kama maraaaaaaaa ......mmmhhhhhhh........ngoja niendelee kukumbuka

Kama mara 6 hivi ........

Wewew je?

Achana na zile za uongo,nataka za ukweli!
Nilianzia kwa wazazi wangu... Then watu wengi tu, love all but trust a few
 
Hahahahah.....my husband Ntuzu unanikoshaga hapo tu....unawapatia haswaaa hawa dada zako. Nashukuru kwa msimamo wako honey vinginevyo ndoa yetu ingeshaota mbawa...


Yani bora ya wifi yako Honey Faith Hana matatizo!

Lkn Hawa wawili mwallu na miss neddy ni shida eti wasikuone unapiga story na mtu tena za kawaida na huyo mtu Mwenyewe km Mentor Ndio anaanzisha story Kwao inakua shida km wamekuoa wao! Lols!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
m nmeselisema mara nyingi jaman duuh,ila wakwanza kumwambia hata simkumbuki n nan na yuko wap,i luv u yaukweli n kama 6 iv dah m napenda penda sema ndo ivo
 
Bora! Na Mimi siku nikimuona Mwenyewe siwambii kabisa! Ntakaa kimya! Km kujuta ntajuta Mwenyewe!

Na haitotokea my ngosha....kwako napata kila kitu Mungu anipe nini mimi?
 
Au limbwata....simwelewi kaka yetu

muuza ubuyu hatekwi kirahisi na mwanamke
Ntuzu mke achepuke na kutetewa atetewe ama kweli mapenzi upofu
Yaani tabu kweli jamaa yangu Ntuzu, hamo olishiwe JIGONA! Jamaa anashinda ndani tu kama 'jigona' na ukimwambia juu ya mke wake unakiona cha moto, dah!!

Ndo ashageuka tayari.....nammiss kaka muuza ubuyu Aisee....akijaribu na kwako tutaenda kumtoa kwa kaka sisi wenyewe
Nami nimewamisi sana dada zangu mwallu na miss neddy, ng'ojimelelilehe igete?
 
Last edited by a moderator:
Yaani tabu kweli jamaa yangu Ntuzu, hamo olishiwe JIGONA! Jamaa anashinda ndani tu kama 'jigona' na ukimwambia juu ya mke wake unakiona cha moto, dah!!


Nami nimewamisi sana dada zangu mwallu na miss neddy, ng'ojimelelilehe igete?

Hahahah....nlidhani wewe una busara kumbe ndo walewale?
 
Last edited by a moderator:
Yaani tabu kweli jamaa yangu Ntuzu, hamo olishiwe JIGONA! Jamaa anashinda ndani tu kama 'jigona' na ukimwambia juu ya mke wake unakiona cha moto, dah!!


Nami nimewamisi sana dada zangu mwallu na miss neddy, ng'ojimelelilehe igete?

Yaani haelewi..
Aleyo ojimelile cheneko....nibhule? We miss you kila siku
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom