Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,712
nakaza ..nitaweza tu😂😂😂
nakaza ..nitaweza tu😂😂😂
Nakuaminia jembe langunakaza ..nitaweza tu
amen kwa kunitia nguv mamy...Nakuaminia jembe langu
Sawa mkuuEeh chukua ile ya kwanza basi
Jr[emoji769]
Hakuna familia isiyo na mapungufu. Hatuna wazazi wasio na mapungufu, sisi pia si wakamilifu, hatuoi au kuolewa na mtu asiye na mapungufu, kadhalika watoto wetu nao si wakamilifu. Tunayo manung'uniko au malalamiko kila mmoja dhidi ya mwenzake. Tumevunjana moyo na kukatishana tamaa. Kwa hiyo, hakuna ndoa iliyokamilika wala familia iliyoboreka bila kuwa na mazoea au utamaduni wa kusameheana.*
*Msamaha ni nguzo au msingi wa utulivu wa akili na uhai wa roho zetu. Kama hakuna msamaha, familia inakuwa uwanja wa migogoro na mlipuko wa ugomvi. Panapokosekana msamaha, familia inaugua. Msamaha unahuisha moyo, kwa kusafisha fikra na kuufanya moyo kuwa huru. Binadamu asiyesamehe hana amani moyoni na wala hana urafiki au muunganiko na Mungu.*
*Maumivu ni sumu inayodhuru na kuua. Hebu kiponye kidonda hicho cha moyo endapo kuna dalili za kujiumiza. Mtu asiyesamehe anajisababishia mwenyewe ugonjwa wa mwili, kiakili na kiroho. Ndiyo maana familia inapaswa kuwa sehemu ya uhai na si kifo; eneo la uponyaji na sio mahali pa magonjwa; jukwaa la msamaha na si la uovu. Msamaha huleta furaha pale uchungu ulipoleta maumivu; huleta uponyaji hata pale ambapo maumivu yalisababisha magonjwa.*
```Ujumbe huu mzuri umfikie kila mmoja wetu katika familia yake.
Jr[emoji769]
Jr[emoji769]
😂😂😂hv na ww unaamini kwenye hayo madude ya chumvi😂😂si shirki hyo.jaman😂😂😂 lbd km ushawah enda kwa mganba utaona kawaida..khaaaInafanya kazi kweli au nayo inahitaji imani Kama maombi?
Mwanaume yoyote kamili, mwenye afya njema/ both akili na mwili , uchumi wa kati/kawaida.....Kwanza ili mtu asamehewe kuna vigezo!
1.Mkosaji aoneshe kujutia kosa
2. Mkosaji asitafute kujitetea
3. Mkosaji aazimie kutorudia kosa
Sasa mtu mfano anasamehewa leo kesho anachepuka tena je utaendelea kumsamehe?!
Yani kuna watu kuchepuka ni sehemu ya mfumo wa maisha!
Cc: Mshana Jr et al
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti unasema nini wewe Mshana!? Nyumba ndogo ni msingi imara wa ndoa nyingi!? Acha kupotosha wanaume wenzio hivi hiyo michepuko ni misingi au mipasuko!? Hiyo ndio chanzo cha migogoro isiyokwisha kwenye familia nyingi maana moyo ni mmoja hauna nguvu ya kupenda kuwili sawa sawia, wanaume wengi mkishakua na nyumba ndogo dharau kwa wake zenu huzidi Mara dufu. Ogopeni magonjwa hivi huwa mnajiulizaga kipindi unalala kwa mkeo yule hawala yako huwa analala na nani? Sasa hivi kuna gonjwa lisilokingwa na kinga ya condom mnatuletea homa za Ini ndani ya nyumba,tulieni wapuuz nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi enda, kwani chumvi ni ushirikina? Hata baadhi ya makanisa wanaagiza tupeleke chumvi ikaombewe 😄😂😂😂hv na ww unaamini kwenye hayo madude ya chumvi😂😂si shirki hyo.jaman😂😂😂 lbd km ushawah enda kwa mganba utaona kawaida..khaaa
Ewe mwanaume uliyeoa umtende mkeo kwa mambo ya hiyana!
Mwaka mpya huu nakisihi mkaribie Mungu wako kwa kwenda Nyumba za Sala na kuuashika mafundisho yake!
Neno la Mungu lina nguvu kubwa !
Kuishi na mke wa ujana wako bila kuchepuka inawesekana!
Sent using Jamii Forums mobile app