Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,007
- 7,045
- Thread starter
- #81
Ohhh.....
Nasi tumefurahia kusikia yote yalio mema kutoka kwako mgeni.
Karibu sana Dodoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasalimie me nilikuwepo mwez wa saba mwaka Jana but ikulu chamwino
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ushaenda?Wenyeji wa Dodoma leo nakuja huko kwenu, naomba mnipe A B C za huko, Kama vile nifikie wapi, nikashangae wapi maana si ndo makao makuu ya Tanzania lazima kutakuwa na vitu vya tofauti.
Ahsante
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ushaenda?
maana na mimi pia nataka nikashangae dodoma anytime kwanzia saa hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu DodomaMkuu ushaenda?
maana na mimi pia nataka nikashangae dodoma anytime kwanzia saa hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Counter yupo agness?Nipo hapa platinum mataa counter, nimelaza K-Vant.
Ebu changamsha macho unione
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko Dom tangu wiki iliyopita, jua Kali na mvua za hapa na pale, Ra cruze Bar ndio kiwanja changu cha kutazama Mpira na kupata kakinywaji kidogo, aliyeko Jirani akaribie!
Sent using Jamii Forums mobile app