Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,126
- 39,343
Sasa wewe kijisehemu kama Zanzibar ambapo ukipiga filimbi wote wanasikia manaibu waziri wanini?Kiukweli sehemu moja muhimu ya kupunguza matumizi ya Serikali ni kuwaondoa manaibu waziri kwani zaidi ya kujibu maswali bungeni huwa sioni kazi nyingine ya maana wanayofanya.
Katika hili nakubaliana kabisa na Rais wa Zanzibar Dkt. Mwinyi la kutoteua manaibu Waziri katika baraza lake.
Ni imani yangu utaratibu huu una baraka za chama na hata Rais Magufuli atafanya vivyo hivyo.
Maendeleo hayana vyama!
Hata hao mawaziri ni mzigo tu kwa kamkoa ka Zanzibar