Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 19,134
- 41,705
ilikuwa ni vidonge
ilikuwa ni vidonge
Mimi pia Nilipata huu ugonjwa baada ya kumpima HIV alikuwa negative nikapiga Peku. Uzuri wa Gonorrhoea ni unapona haraka kwa single dosage.mkuu ww mzembe Iseee... kuugua gonorrhea sio issue ila tatizo linakuja kwann umechelewa kujitibu mzee au ndo ulikuwa unajificha ndani kuogopa aibu? huo ugonjwa ukiuwahi ndani ya siku 3 umeshapona mzee labda upate dose ya kizembe ninauzoefu na huo ugonjwa coz kuna mwanamke alinipatiaga na sijawahi kumwambia na nilisitisha mahusiano naye nilipogundua nimeukwaa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂Nmeshuka bodaboda mume wangu
Hapo mke wangu alikuwa ananijulisha kuwa kashafika nikampokeee
kabisa mkuu nakumbuka doctor aliniandikia dawa moja hivi ziko 3 pamoja na flagyl vidonge 10 kwa pamoja unameza yaani hapo siku mbili tu tayar shida inaondokaMimi pia Nilipata huu ugonjwa baada ya kumpima HIV alikuwa negative nikapiga Peku. Uzuri wa Gonorrhoea ni unapona haraka kwa single dosage.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usirudie makosa mwaka huuMimi nakiri kuipoteza kura yangu 2015 kwa kumpatia Lowasa
Nilishampa dr Magufuli
ulikuwa unatumia dozi ya kizembe kijana ndo maana ulikaa week nzima bila kuponaNiliambukizwa huo 2009 nimetoka advance tu wiki ya kwanza nikaparimia denu langu nikaukwaa kibaya zaid nikaenda yibiwa wanataka nipime na ukimwi. Nikaamua rudi home nikanunua doxy kunywa wiki nzima hamna nafuu nikarudi tu hospital na kupima ukimwi na kutibiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
niligundua nazingua kuna vidonge vingine nimesahau jina nilinunua navyo havikufua nilienda pigwa sinda kesho yake nikaanza ona mabadiriko.ulikuwa unatumia dozi ya kizembe kijana ndo maana ulikaa week nzima bila kupona
Sent using Jamii Forums mobile app
ulikutana na madaktar au pharmacist wa kizembe iseeniligundua nazingua kuna vidonge vingine nimesahau jina nilinunua navyo havikufua nilienda pigwa sinda kesho yake nikaanza ona mabadiriko.
Omba Mungu umpate mama huruma la sivyo 2020 itakuwa the same.Nakiri kabisa..
2019 imepita kavu bila kula tunda..ngoja tuone mwaka huu kama mdada yoyote atanionea huruma
Niwazie mema basi..
Uzuri wa maisha kufaidi ni maamuzi yakoNiwazie mema basi..
Hutaki nami nifaidi maisha?
Kama mtu niliyemuamini ulinitoa kimaso maso nani tena atanihurumia..
Nilijua ww waweza nihurumia