Nakaribia kudhulumiwa, naombeni ushauri

Nakaribia kudhulumiwa, naombeni ushauri

Hawa wajeda wapuuzi sana.
Nilipanga kwa mmoja, ila nyumba ilitaka ukarabati kabla ya kuingia. Jamaa kasema hana pesa, nitangulize kodi ili aitumie kurekebisha nikaona fresh.. nimelipia miezi 6 akasema ndani ya siku tatu kutakuwa tayari. Siku 3,5,wiki, wiki ya pili.. nkaona mazoea yanazidi nikaamua kumjia juu, akasema njoo ulete vitu nyumba tayari. Nikaenda kupaona aisee.. ukarabati low budget.. choo hajaweka mlango. Nkamwambia mwenye nyumba jiheshimu basi, me naingiaje kuko hivi.. eti ooh nimeona una haraka sana, sasa we leta tuu vitu af tutaendelea kupaweka sawa. Nkamwambia siingii nyumba iko hivi.

Maneno yakawa mengi, mwisho wa siku tukashindwana nkamwambia anirudishie kodi yangu siingii kwake tena.. tukenda mpaka kuandikishana kwa mwenyekiti wa mtaa. Kufika kwa Mwenyekiti kumbe wanafahamiana lakini tukaenda hivyo hivyo. Makubaliano yalikuwa anilipe baada ya mwezi. Yaaani anavyonisumbua saivi.. Bora nichukue namba pale juu nimrogee.. maana haiwezekani pesa yangu inisumbue tena kuifuatilia. Yeye kakaa kimya, mimi nna kazi ya kumpigia daily, na kiswahili kingi.. shida saivi tupo mikoa tofauti.. Bora nimroge tuu.. at akifa sio mbaya.
Usimroge mkuu , twende kwa mwajiri ukiwa na backup ya malalamiko yako.

Pole sana!
 
Unajua umeandika kama sisi humu ndio majirani zake huyo afande, sikiliza mdogo wangu, wakati wowote unapopatwa na tatizo lolote jaribu kuwa mtulivu na kama unahitaji ushauri toa maelezo ya kutosha yanayohusiana na msaada unaohitaji, pia usikurupuke kutoa hukumu au kuchukuwa maamuzi kwa kutumia hasira au utashi wako binafsi, unaweza kuwa umeonewa, umedhulumiwa, au vyovyote itakavyokuwa, lakini dunia hii haki pekee haikufanyi uwe na sauti mbele ya mamlaka au sheria, hususan upande huo wa magwanda, kwao wao hakuna sheria za duniani wala za mbinguni zinazofanya kazi, kwahiyo kuwa makini huyo anaweza hata kukunyanganya hiyo nyumba akasema ni yake na mamlaka ikakuweka wewe ndani na kusema ulitaka kumdhulumu, kwa kifupi umeyatimba, nakushauri mvumilie na mpe siku au mwezi kama hajalipa mwambie mimi nyumba nauza, utamuwachia msala huyo atakaekuja kununua, kwa kifupi umeyatimba.
Duu hapa duniani Kuna akili za Kila aina.
 
Unajua umeandika kama sisi humu ndio majirani zake huyo afande, sikiliza mdogo wangu, wakati wowote unapopatwa na tatizo lolote jaribu kuwa mtulivu na kama unahitaji ushauri toa maelezo ya kutosha yanayohusiana na msaada unaohitaji, pia usikurupuke kutoa hukumu au kuchukuwa maamuzi kwa kutumia hasira au utashi wako binafsi, unaweza kuwa umeonewa, umedhulumiwa, au vyovyote itakavyokuwa, lakini dunia hii haki pekee haikufanyi uwe na sauti mbele ya mamlaka au sheria, hususan upande huo wa magwanda, kwao wao hakuna sheria za duniani wala za mbinguni zinazofanya kazi, kwahiyo kuwa makini huyo anaweza hata kukunyanganya hiyo nyumba akasema ni yake na mamlaka ikakuweka wewe ndani na kusema ulitaka kumdhulumu, kwa kifupi umeyatimba, nakushauri mvumilie na mpe siku au mwezi kama hajalipa mwambie mimi nyumba nauza, utamuwachia msala huyo atakaekuja kununua, kwa kifupi umeyatimba.
Umeandika nini hiki umelewa au huyo mbwa anaweza kufanya nini? Unajua hao majina yao yameandikwa kwa pencil?
 
Mungu katuumba tofauti sana aisee.
Sehemu uliyovuja jasho lako kuipata anatokeaje 'mpumbavu' mmoja kukupasua kichwa napo kwa mgongo wa aina ya kazi yake?

Kuna wakati kwa baadhi ya watu ukiwaonyesha ustaarab wanakuona wewe Boya.
Na huyu ndio wa kumumgeuza mfano kwa wapangaji wenzake wengine.

Sasa iko hivi;
Kwa vyovyote vile ipo siku atarudi nyumbani kwake
Iwapo wewe unavyo vielelezo kuwa kweli ni Mpangaji wako
(Mikataba na hiyo ahadi kuwa angekulipa januari kama ipo kimaandishi nayo nenda nayo)
Peleka vyote Ofisi ya Serikali za Mitaa.

Huko unawapanga kabisa kuwa pamoja na kutaka walishughulikie tatizo lako vilevile ungependa kujua yupo kambi gani? Hivyo wasisahau kumuuliza, akiropoka Kambi yake baaasss kaisha.
Utasikiliza anawaambia nini Serikali ya Mtaa.
Lakini kama bado anazingua,
Kiburi kitaisha sababu Ma-boss wake ukiwaambia kuwa ni msumbufu watamnyoosha tena ikibidi unamzushia kuwa alikuwa anakurusharusha kichurwa ukimdai Pesa zako na kuwa huwa anatamba kuwa yeye ndio Mkuu wa 'Batalioni' nzima hapo Kambini, KITAKACHOMTOKEA UTAFURAHI.

Nawasilisha.
 
Hili Jambo Dogo Sana Unalipwa Chap Chap
Unatakiwa Kujua Anafanya Kambi Gani Unalipwa Halafu Unamtoa Home
Mpangaji Msumbufu Umepataje Nafasi Ya Kumpa Gap Mpaka Deni Linafika Million


Toa Mrejesho Chap Hapa Kama Umelipwa Ama Vp
 
Usijaribu kupangisha mwanajeshi au polisi kwenye nyumba yako

Hao watu wanajionaga km vile wako kambini, kodi hawalipi, wanamakelele hawana ustaarab hata kdg

Ni bora umpangishe baamedi au malayerrr...ataenda kuuza lkn mwisho wa mwezi kodi yako anakupa.
 
Usijaribu kupangisha mwanajeshi au polisi kwenye nyumba yako

Hao watu wanajionaga km vile wako kambini, kodi hawalipi, wanamakelele hawana ustaarab hata kdg

Ni bora umpangishe baamedi au malayerrr...ataenda kuuza lkn mwisho wa mwezi kodi yako anakupa.
Hao Ni Wapangaji Kama Wengine Na Wanalipa Vema Tu
 
Mungu katuumba tofauti sana aisee.
Sehemu uliyovuja jasho lako kuipata anatokeaje 'mpumbavu' mmoja kukupasua kichwa napo kwa mgongo wa aina ya kazi yake?

Kuna wakati kwa baadhi ya watu ukiwaonyesha ustaarab wanakuona wewe Boya.
Na huyu ndio wa kumumgeuza mfano kwa wapangaji wenzake wengine.

Sasa iko hivi;
Kwa vyovyote vile ipo siku atarudi nyumbani kwake
Iwapo wewe unavyo vielelezo kuwa kweli ni Mpangaji wako
(Mikataba na hiyo ahadi kuwa angekulipa januari kama ipo kimaandishi nayo nenda nayo)
Peleka vyote Ofisi ya Serikali za Mitaa.

Huko unawapanga kabisa kuwa pamoja na kutaka walishughulikie tatizo lako vilevile ungependa kujua yupo kambi gani? Hivyo wasisahau kumuuliza, akiropoka Kambi yake baaasss kaisha.
Utasikiliza anawaambia nini Serikali ya Mtaa.
Lakini kama bado anazingua,
Kiburi kitaisha sababu Ma-boss wake ukiwaambia kuwa ni msumbufu watamnyoosha tena ikibidi unamzushia kuwa alikuwa anakurusharusha kichurwa ukimdai Pesa zako na kuwa huwa anatamba kuwa yeye ndio Mkuu wa 'Batalioni' nzima hapo Kambini, KITAKACHOMTOKEA UTAFURAHI.

Nawasilisha.
Mkuu umewasilisha vema kabisa.

Ngoja nifanyie kazi ushauri wako ambao unawiana na ushauri uliotolewa na wengi humu ndani.

Huyu ni wa kuruka nae jumla jumla.
 
Hili Jambo Dogo Sana Unalipwa Chap Chap
Unatakiwa Kujua Anafanya Kambi Gani Unalipwa Halafu Unamtoa Home
Mpangaji Msumbufu Umepataje Nafasi Ya Kumpa Gap Mpaka Deni Linafika Million


Toa Mrejesho Chap Hapa Kama Umelipwa Ama Vp
Ni kweli nimekosea kum-tolerate kwa kipindi chote hicho.

Anyaway, wazungu wanasema 'better late than never'. Ngoja nishughulike nae. Nitaleta mrejesho humu.
 
Usijaribu kupangisha mwanajeshi au polisi kwenye nyumba yako

Hao watu wanajionaga km vile wako kambini, kodi hawalipi, wanamakelele hawana ustaarab hata kdg

Ni bora umpangishe baamedi au malayerrr...ataenda kuuza lkn mwisho wa mwezi kodi yako anakupa.
Sitarudia kosa tena mkuu. Ujinga wakati wa kwenda tu...
 
Back
Top Bottom