Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,662
- Thread starter
- #101
Asante mkuu nimeshapoa.Ndiyo tatizo la hawa CPL, huwa wanapenda wahudumiwe kwa kutukuzwa flani, kwa kuwa alipita Depo. Ni uonevu huu, pole sana.
Mpe notice kwanza ili uwe umefuata taratibu za kumwondoa. Kisha ndiyo ziende harakati za kiutaratibu za kumtoa kwenye nyumba yako.
Kama akiendelea ksumbua kutoka na kulipa malimbikizo ya deni, na kwa kuwa hujui kambi yake, basi peleka shauri lake HQ (Upanga) ila jitahidi uwe na nyaraka zote.
Ova
Nashukuru kwa ushauri mzuri pia. Nitaufanyia kazi.


