Kuna watu ni madhulumati yaliyokubuhu na wasumbufu tu kwahiyo akiamua anakwenda moja kwa moja baraza la wilaya anaweka wakili wa mchongo danadana zinaanza,nilishayapitia hayo ndugu kwahiyo najua ninachokisema.Uko sahihi kwa sehemu mkuu.
Ingawa lazima shauri lianzie Baraza la Ardhi la Kata kwa ajili ya Usuluhishi. Wakishindwa Kata ndio liende Wilaya.
Thanks anyway, ingawa sitaki huu usumbufu, nataka tu aachie chumba changu.

