muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,114
- 4,798
Kuna mdau amelalamika sana kwamba ameenda hospitali ya Umma akakuta huduma ni mbovu na wagonjwa ni wengi sana ila watumishi wanapiga tu story mpaka wagonjwa wengine wanazidiwa mapokezi.
Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!
Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.
Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.
Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.
Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.
Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.
Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.
Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.
Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.
Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.
Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?
Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?
Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya
Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi
Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.
Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.
Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.
Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.
Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!
Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana
serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watu
mishi, muone kama huduma zitakua za hovyo
Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya
Amedai mgonjwa anapokelewa saa mbili ila hadi saa nne hajapata huduma yoyote!
Naomba nikanushe na nijibu tuhuma za mdau.
Mimi nimefanya kazi hospitali zaidi ya moja, tatizo kubwa linalosababisha huduma zizorote hospitali za Umma ni ufinyu wa wafanyakazi wala sio kwamba ni wazembe.
Mfano nautolea kuna hospitali zinahitaji watu zaidi ya 30 lakini unakuta wahudumu ni kumi tu.
Mfano hospitali ya kanda ya mtwara kiuhalisia inatakiwa kuwa walau na wafanyakazi 200 lakini mpaka sasa wapo chini ya 50 idadi ambayo haiendani kabisa na jumla ya wagonjwa wanaokuja hapo.
Nimefanya kazi hospitali moja yenyewe ni kituo cha wanafunzi kufanya mafunzo kwa viitendo, ile hospitali ni kama imetelekezwa wahudumu ni wanafunzi tupu.
Hospitali za vijijini mpaka raia wanaitwa wasaidie kutoa huduma, imagine zahanati nzima muhudumu mmoja, hana off hana masaa ya kazi hata saa saba usiku anaamshwa akazalishe anazalisha mtu saa kumi usiku, halafu asubuhi anatakiwa kazini! haya mambo yapo na tunayapitua sio story,
wahudumu wa afya wanafanya kazi kubwa sana tusiwabeze.
Mfano mwingine mdau amelalamika kua unaenda hospitali saa mbili hadi saa saba hakuna huduma yyte.
Kuna hospitali kubwa tu lakini unakuta ina maabara mbili tu, au moja kiasi kwamba watu zaidi ya 200 wanasubiri majibu toka maabara moja kwa wakati mmoja.
Muiambie serikali ya CCM iboreshe huduma za afya musisingizie kua watumishi ni wazembe.
Wodi moja usiku mmoja unakuata ina muuguzi mmoja! Mnataka afanyeje?
Mhudumu mmoja wagonjwa 70 unategemea huduma gani bora hapo?
Tusidanganyane hapa wala tusilaumu wwatumishi wa afya
Kuna hospitali niliwai kushangaa usiku mzima nesi ni mmoja wodi nzima tena ni mwanafunzi
Narudia tena tatizo sio sisi watumishi tatizo ni serikali yenu.
Shida inakuja pale mgonjwa yuko wodi A anaona hapati huduma anashangaa kuona watumishi wengine wako nje wanazunguka ambao hata huwenda hawahusikibna hyo wodi.
Mtu akiwa na mgonjwa akiona mhudumu yoyote anataka amhudumie bila kujua hospitalini kuna vitengo mbalimbali.
Hata watumishi wa umma wanatamani wawahudumie vizuri kama private tatizo ni kulemewa na majukumu private watumishi wengi, wagonjwa wachache.
Umma watunishi wachache sana wagonjwa wengi!
Msilaumu watumishi mpk kuwatukana wanafanya kazi nzuri sana
serikali inabidi iongezeje bajeti wizara ya afya wajenge miundombinu inayoendana na idadi ya watu pia waongeze watu
mishi, muone kama huduma zitakua za hovyo
Mungu ibariki Tanzania na watumishi wa Afya