Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,416
- 5,004
Mke wa mtu sumu aisee. Kwa sisi tuliobahatika kupita Tanga huko acheni tu at your own riskHata ingekuwa wewe Zanana unaweza kumuacha kweli?
🤣 Mzee anavizia masege ya kijanaMke wa mtu sumu aisee. Kwa sisi tuliobahatika kupita Tanga huko acheni tu at your own risk
Wanawake wako tele atafute wa kwake. Mzee kaweka lindo anatafuta wa kumaliza😀
Kuna Mzee nikiwa Tanga alikuwa na mabinti wazuri halafu wana kimghahawa. Sijawahi kunywa chai tamu vile toka nizaliwe aisee kwa mapishi Tanga wanajua sana. Mwenyeji wangu Alison mchezo akaniambia hawa watoto wana password usije mruka au kujaribu kula mzigo utakufa.🤣 🤣 🤣 🤣
🤣 Mzee anavizia masege ya kijana
Sio kweli. Hata bila mashine yule demu alidhamiria. Hata bila mashine angempata tuSijasoma yote Ila nahisi kosa lilianzia kwenye kurekebisha mashine....
Mi ni msomi kutoka kyuba.
Kifupi mwamba alikula demu wa mzee ghafla mzee akarudi
Si akaalika vijana wamle 0713 na video wakachukua Sasa kaambiwa atoe mil8 na mwamba hana hivyo mzee wiki ijayo ataziachia picha na video mwamba akipakuliwa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app








Ngoja nijazie jazie kumbe yule mzee alikuwa ni mzee wa kizenji bwana na ule ulikuwa ni mtego ila jamaa atolewe masega na mwisho wa siku mzee alipanga njama na akafanikiwa kumtoa jamaa masega hivi mpaka dakika hii tunakwenda mitamboni ndugu yetu hana masega na amejiunga rasmi na kikundi haramu cha kataa ndoa akiwa kama mweka hazina wao.






Ngoja nijazie jazie kumbe yule mzee alikuwa ni mzee wa kizenji bwana na ule ulikuwa ni mtego ila jamaa atolewe masega na mwisho wa siku mzee alipanga njama na akafanikiwa kumtoa jamaa masega hivi mpaka dakika hii tunakwenda mitamboni ndugu yetu hana masega na amejiunga rasmi na kikundi haramu cha kataa ndoa akiwa kama mweka hazina wao.
😄😄Ukifika muda wa kutoa ushauri takuwa nimesahau mwanzo wa simulizi
KENGE 01 kwani mbwa wamekukosea nini


eti jamani ana shida gani na mbwaNimefika mkuu. Ngoja nianze kusoma majuto yake
vp ukitaka kuoa,utakufa au inakuwaje kuhusu hao mabinti.Kuna Mzee nikiwa Tanga alikuwa na mabinti wazuri halafu wana kimghahawa. Sijawahi kunywa chai tamu vile toka nizaliwe aisee kwa mapishi Tanga wanajua sana. Mwenyeji wangu Alison mchezo akaniambia hawa watoto wana password usije mruka au kujaribu kula mzigo utakufa.
Kifup jamaa alinielezea mengi sana alidai baba aliweka usinga kwa mama yao na wale watoto walimruka mama yao hivyo pia nao wana usinga wa mama yao. Jamaa alinambia mambo ya ajabu mpaka nikawa nawaona mademu wote kama wanaume acheni tu haya mambo yasikieni kwa watu..