Mzee analinda goma lake hapo.Mahangaiko yote hayo na nini nae huyo mzee😂😂
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahah mwanamke hachungwi bwana, the least you can do ni kumuonya tu awe makini.Mtu mzima alindwi/achungwi, ni kosa kubwa sana. Kuna dada mmoja mmewe ni mkali anamlinda lakini asubuhi huyo dada anaamka mapema kufanya mazoezi(jogging) anapita kwa mwamba anapata dozi mapema alafu anarejea home kama katoka mazoezi. Huu mchezo kaufanya mpaka jamaa yangu alipoanza kuishi na KE wake ndio ukakoma.
Nawa uso na maji baridi 😂
Unamla mchana muda ambao mzee hayupo kweli 🤣! Timming ya mke kuliwa huwa ni ya dakika chache mno. Wake wengi co workers wanaliwa mida ya lunch.Tena wahuni wakishajua michezo yake wanamvizia tu kwisha kazi
Hata ingekuwa wewe Zanana unaweza kumuacha kweli?Demu mzuri kazaa watoto watatu lakini bado yupo vizuri, anafanya mazoezi sana.
Wahuni walimpakia mkongo bila shakaAlichofanyiwa na wahuni waliokodiwa na Babu unadhani hata kukaa vizuri anaweza?
Mijamaa haijui Ray's Ni kitu gani.
Sipendi majiNani amekwambia huo upuuzi...?Kwanini hupendi kuoga kaka..?
Umetoa siri za kambi mzee😂😂Unamla mchana muda ambao mzee hayupo kweli 🤣! Timming ya mke kuliwa huwa ni ya dakika chache mno. Wake wengi co workers wanaliwa mida ya lunch.
Malizia story sasa...Nani amekwambia huo upuuzi...?Kwanini hupendi kuoga kaka..?
Asa si atulie ndani, mitego ya nini aje kufa na presha bure bila sababu za msingi😂Mzee analinda goma lake hapo.
Mazoezi ya namna gani hayo? Kukimbia tu, ama?Demu mzuri kazaa watoto watatu lakini bado yupo vizuri, anafanya mazoezi sana.