HAYA NIMERUDI KUNA SEHEMU NILIENDA OMBA MSAADA ILA SIJAPATA...
Naendelea...
Nikavaa shati langu nikatoka Tukaelekea Huko iliko hiyo mashine Yakufulia, Kiufupi Hata Sikuwa Najua lolote kuhusu Hiyo mashine na wala sikuwahi itumia kabisaa ila nilienda kwasababu mimi ni mwanaume tu...
Kwa mara ya kwanza niliingia kwenye ile nyumba kubwa, Aisee Ndani Kuzuri sana, vitu vya Thamani sana, Ile LG ukutani sijui Nchi ngapi, Kiufipi mzee alikuwa vizuri ndani, Kwa ile siting room Ilivyokuwa Nzuri kwa kijana yoyote Yule Ni lazima angetamani pawe kwake, Basi Akanipelekea mpk kwenye chumba cha kufulia Ila Chaajabu nikakuta mashine inaunguruma fresh tu hadi yeye akashangaa!! Akaanza kuchekacheka Kikike kike na aibu kwa mbali, Sikuwa na la kupotezea Nikatoka njee, Alinishukuru kwakukujali wito wake japo Tulikuta kila kitu kimekaa sawa chenyewe...
Nikiwa naelekea kwenye mlango wangu aliniita Ikabidi nisimame na kumgeukia Alikuja nilipo(Hapa ndio mwanzo wa tatizo najuta kusimama)
Aliniambia Hana Rafiki hivyo Anahitaji namba yangu ili Kukiwa na tatizo lolote kwa upande wake ama wangu tuwe tunajuzana, sikuwa na choyo nikampatia...
(Naenda kwakufupisha story ili tufikie lengo maana wengine mshaanza ooh Chai Mara Hamtaki ITAENDELEA kila mtu ana Jazba zake humu..)
Tulizoena na kuchat kwa meseji sana Ila kitu kimoja tu toka kwake nikimuuliza Yule father hausi ni nani yako huwa hanipi majibu ya kueleweka yaani kiufupi Haniambii kama ni baba ake au bwana ake hasemi anarukaruka tu...
Tulizoeana ndani ya wiki tu, siku ambayo naijutia Ni siku ambayo aliomba aingie ndani kwangu Ili Acheki na mimi movie, sikuwa na Hiyana nikamuingiza ndani natukawa tunachek movie, Alikuja na kijisketi chepesi Chenye vijimkanda kwenye mabega...
Tulicheki movie Mpaka saa moja huku tukipiga stor nyingi za ucheshi Alikuwa anapenda sana kucheka, alikuwa anauliza mbona hajawahi ona mwanamke Pale kwangu Nikamjibu Sinaga time nao niko bize na life Akauliza nyeg* zangu huwa namaliza wapi?? Mikajibu Huwa naziacha mwilini mwangu humu humu!! Sifichi siku ile nilimtafuna yule binti nilitafuna sana Tena kwa uchu mkali..
Tangu nazaliwa sijawahi gonga pisi kama ile, mali safi, Sauti ya Ruby kama si zuchu akiwa analia Kwenye hichi kifua cha mwanaume wa tanga Tena mdigo wa Mwahako...
Basi Tukawa wapenzi Rasmi Nikawa napikiwa nafuliwa kwenye lile lile limashine la kufulia Nikawa baba mwenye nyumba mdogo... Tunazagamuana popote pale iwe chumbani kwangu, Chumbani kwake, Siting Room kwangu Ama kwake, Kuna siku nilimtafuna uwanjani anapopaki Gari Father Hausi Shahidi ndege angani...
Nikaanzisha Tabia moja nikitaka kutoka job nakimbilia chooni napaka MKONGO ule wa MAFUTA nafunga nalemba, Napanda Gari Sometimes nikiona nachelewa napanda pikipiki mpk Home Nikifika Huwa MKONGO Ushakolea Mwilini Basi namvamia napiga show hata awe Anapika, Kwanza alikuwa anapenda show zangu za kibabe pasinakujua Nampakia mkongo ili kumkoleza...(Mkongo alinipa jamaa angu kazini)
Siku moja aliamua kunifungukia kuwa yule mzee ni Mume wake Tena wa ndoa kabisa alimuoa Huko mkoa X na ndoa yao ni changa kabisaa, pia na yeye kwenye huu mjengo ndio kaletwa Kwa mara ya kwanza Hakuwahi kufika kabla(ila Hakuniambia mzee anafanya kazi gani) Basi Sikuwa na la kufanya maana nishanogewa na mbususu nikasema potelea Kote Chuma Huliwa na kutu...
Siku ya siku mzee Alirudi alipokwenda na ilikuwa mwaka huu mwezi wa kwanza siku ya mwaka mpya Yaani TAREHE 1/1/2023...Kama kawaida yangu mi mzee cool Sikuwa na maneno nae kabisaa Ila nikawa namchukia yule mzee why karudi wakati nishazoea Kutawala mule ndani, Wivu unanijaa inapofika usiku Nawaza Demu wangu analiwa na mume wake muda huu, Nawaza ile mikunjo Ya kiko, mbuzi kagoma, Kifo cha mende na mikao ya ajabu ajabu, Nawaza Ile sauti yake yenye uzuchu ndani yake, Wivu Unanijaa Nakuwa na hasira sana, Kuhusu kutuma txt naogopa Yani Nilikuwa kama Mwijaku sieleweki Nimepoaaaa nimepoaaaa!!! Ila Hayo yote yalikuwa mawazo Yangu mimi sikujua ndani ya zile kuta kunatokea nini kama wazagamuana au laa...
Niliishi kwa tabu sana Hata nikiwa kazini namuwaza yule binti, Nikiri nilimpenda sana Alinisitiri kama vanilla wa kings music Aliniweza jamani...Ikipindi yule mzee yupo basi Hata nikikutana na binti kwenye uwanja wa paking ni salamu tu hata tuwe wawili Hatuongeleshani zaidi ya salamu kwa kuogopa labda mzee ataweza ona mabadiliko Kati Yangu na mke wake...
Ilipofika Tarehe kumi mwezi huu yanii TAREHE 10/2/2023 Mzee alisepa zake ila safari hii sikuagwa kama kawaida yake ila niliona asubuhi akiwa anapaki mabegi kwenye gari lake na mie sikushuhulika nae nikasepa zangu job ila Nilipokuwa j0b iliingia meseji toka kwa binti ""AME0ND0KA YULE MZEE, KULA USHIBE JIONI UNA KAZI YA KUNIT0A Z0TE"" nikamjibu W00W JIANDAE hizi txt ninazo mpk sasa...Aisee niliona masaa ya kazini Hayaendi Nili0na muda umesimama, Akili yangu Iliwaza Nyumbani tu, Akili yangu Iliwaza mbususu ya yule binti, Niliwaza leo nikampe style Gani kale kabinti, Ila Muda si Rafiki Ikafika time ya kutoka job Nikawahi Chooni kama kawaida yangu kupaka MKONGO ili nikifika mambo yawe pambeee...
N:B KUANDIKA KUNACHOSHA SANA HIVYO WAKATI WOWOTE BAADA YA LISAA NITAMALIZA YOTE NA HAITAKUWA NA MWENDELEZ0 ZAIDI YA USHAURI WENU TU...
NAJUTA...NAJUTA...