Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

Nilichoona umenogewa na vitatu
1) lift ya gari
2) penzi la huyo dada
3) Kusaidiwa matumizi

Hebu fanya kazi kwa juhudi acha kupenda miteremko kijana maana umeanza kujitetea kwenye mshahara

Kwa hiyo unataka amsaidie mwanamme mwenzie kulipa ada....
 
Inategemea na mtu mkuu na makubaliano au maelewano ya watu wawili binafsi!!Mimi nina mfano hai wa watu wanaoishi na walodumu miaka mingi lkn misimamo ni muhimu tena sana ukiwa legelege tu inakula kwako!Na kwann umebase kwa wanawake tu?na wanaume waliozalisha je?

Kuishi na mtu mwenye mtoto ni ngumu whether ni mwanamke au mwanaume unahitaji busara ya juu sana kuweza kukabiliana na changamoto. Ila kwa wanaume wao huona sawa kutupia wake zao watt na anategemea umlee vizuri kumbe binadamu na hata wanyama ni vigumu sana kulea damu si yake.
Mleta mada nakuonea huruma sana kwa kuwa tayari una wattt kaa chini jiulize ni nani atalea wtt wako ukitimua huyo mke? Huyo nyumba ndogo yako usifikiri atawapenda wanao kama mama yao mzazi yeye hapo interest yake ni hilo gari tu. Sasa je uko tayari wanao walelelewe na mwanaume mwingine? Fikiria hayo tu.
 
Juzi baba amekuja akaniambia nilikushangaa ulipojifanya mjuaji kuoa mwanamke mwenye mtoto tukakuzuia ukalazimisha sasa umeyaona?

Wakuu nipo njia panda ?
Nifanyeje?

Baba yako jembe....fuata ushauri wake. Usiruhusu mtu yeyote akayageuza maisha yako hapa duniani kuwa magumu kama jehanamu
 
Tulia kaa chini tafakari vizuri ikiwezekana wahusishe watu wazima ili upate ushauri wa busara zaidi kuhusu ndoa yako asikuambie mtu hakuna ndoa isiyo na kasoro au raha tupu kuna na maudhi pia tunavumiliana tu kwa vile hakuna mkamilifu....

Hao wanakuambia muache wengine hata hao wake hawana na hawajui lolote kuhusu maisha yako na wanakushauri ukitelea tu wote wanakukimbia haya ni maisha yako follow your heart na usikurupuke...

Pole sana kwa matatizo inshaAllah mungu atakua nguvu..
 
Pole sna mkuu. Lakini huyo ndo mkeo kaaa nae chini vizuri usikurupuke tena mana ndo utazidi kuongeza matatizo ukijua unatatua.
 
Utatumia mbinu gani kujua kama huyo mtarajiwa anaye au hana mtoto? Naona kama ni ngumu sana maana ndoa nyingine wanandoa huanzia kuchumbiana baada ya kukutana bar.

Siwezi kuwa na mtu wa bar. Nilie nae sasa namfahamu tokea akiwa mdogo
 
Mi nitafika hata miaka 50 nje ya ndoa SIZAIIII! Nyie mtoto unavomnyakwa shida baadae anageuka kama kikwazooo! Wanaume mna gubu nyieee, mbona mitoto yenu mnazaa nje mnalelewa?

Hata unune vipi, japo tunashukuru unamuhudumia lakini wewe sio biological father kwake. Biological father japo hana hio ada lakini ana haki ya kumuona mwanae.

Kwa hio huyo dada atakusaidia nini kwa mfano ZAIDI YA KUKUCHUNA? Hata ukimuoa huyo mpora mabwana za watu visa viko pale pale. Hivi hujiulizi kakubali wewe mwenye mke, ukimuoa hato mbwato na mabwana za watu? Unaruka mkojo unanda kukanyaga mavi.

we nawe mkongwe humu,ila hujaelewa kilio ch huyu mtu vizuri. Huo u-biological father sio kesi na wala sio kilio cha mhusika. Soma vzr ndgu.
 
Pole na Hongera sana mkuu kwa uamuzi huo uliochukua,tulia na huyo mke wako mpya ikiwa hana mume mfanye maisha!!!

na yeye siku akimchenchia ndani ya ndoa itakuaje? tuseme watakuja kuoana na huyo mchepuko... ataweza kuwalea hao mapacha?
 
Nilichoona umenogewa na vitatu
1) lift ya gari
2) penzi la huyo dada
3) Kusaidiwa matumizi

Hebu fanya kazi kwa juhudi acha kupenda miteremko kijana maana umeanza kujitetea kwenye mshahara


Ha ha ha mkuu leo umedandia la mwakyembe kiubavu ubavu...yeye ndo alikuwa anampa dada lift na hajawahi saidiwa matumizi..amesema huyo dada alikuwa anasaidia pale nyumbani wakati mkewe hayupo..hapo common sense ikutume kuwa alikuwa anasaidia vitu ambavyo kikawaida vingefanywa na mkewe..may be kupika, kufua. kuosha vyombo n.k...no kusaidiwa matumizi hapo
 
Ndoa si lelema baba, kuwa wafanya kuoa mwaka huu likitokea tatzo unamuacha, ndoa yahitaj uvumilivu wa hali ya juu tn juu haswa. Na hyo story yako ni moja ya mtihan katika ndoa.. Hivyo piga moyo konde myazungumze hayo, yaishe na maisha yaendelee km kawaida. Lakn hamna kuachana hapo ndoa ya kikristo hyo.. Uvumilivu na punguza hasira, ongea nae akulelewee wew n mtu wa aina gan, na misimamo yako ni ipi. bhaaas
 
Nilichoona umenogewa na vitatu
1) lift ya gari
2) penzi la huyo dada
3) Kusaidiwa matumizi

Hebu fanya kazi kwa juhudi acha kupenda miteremko kijana maana umeanza kujitetea kwenye mshahara

hujaelewa hiyo story. yeye ndo alikuwa anatoa lift.
 
Pole sana mkuu kwa majanga,

Hapo obviously ni kuwa jamaa mwenye mtoto anakugongea wife wako..maana kama wana uwezo wa kwenda pamoja shule kwa mtoto ina maana wanakwenda na sehemu nyingine pasi na wewe kujua..mtoto kwao ndo kiunganishi

Halafu mkuu, ujue hizi races nyingine tunaishi nao lakini ubaguzi wao haujaisha 100%...hawa waarabu na wadosi wakikutana wao kwa wao something is apt to happen..so kama we ni mdengereko pure na umeoa half-caste wa kiarabu na amezaa na muarabu mwenzake basi ndugu andika maumivu

Halafu cheki walivyo na dharau..yaani aliondoka bila kukusalimia pale skuli wakati we ndo unamsomeshea mtoto..unajua alikuwa anakupa ujumbe gani?..."you just spoilt my romantic reunion with mzazi mwenzangu, you silly SOB!!!" ndicho alichokisema moyoni
 
Shigongo anaweza kukupa kazi part time ya kukuzidishia kipato.

Hadithi, hadithi.

Hadithi njoo, uongo njoo, ukweli njoo, utam kolea.

Hivi FaizaFoxy una Boyfriend? Please naomba uniambie ukweli moyo wangu uridhike.
 
Last edited by a moderator:
hapo mke mmoja waume mpo wawili ila mume mwenzio ndo anakula kwa timing
 
Pole ni nahati mbaya labda mwanaume wake ni mume wa mtu so alitafuta pa kujisitiri wakiwa wanaendelea na mahusiano yao.
 
Back
Top Bottom