NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 12,322
- 10,915
Kwa hali yeyote mimi nitaua au kujeruhi. nikisamehe sana ndoa itaishia shuleni pale pale.no further discussion
Mi nitafika hata miaka 50 nje ya ndoa SIZAIIII! Nyie mtoto unavomnyakwa shida baadae anageuka kama kikwazooo! Wanaume mna gubu nyieee, mbona mitoto yenu mnazaa nje mnalelewa?
Hata unune vipi, japo tunashukuru unamuhudumia lakini wewe sio biological father kwake. Biological father japo hana hio ada lakini ana haki ya kumuona mwanae.
Kwa hio huyo dada atakusaidia nini kwa mfano ZAIDI YA KUKUCHUNA? Hata ukimuoa huyo mpora mabwana za watu visa viko pale pale. Hivi hujiulizi kakubali wewe mwenye mke, ukimuoa hato mbwato na mabwana za watu? Unaruka mkojo unanda kukanyaga mavi.
Kama baba wa mtoto yupo hapo una kimbembe, lazima wakumbushie hai
Mi nitafika hata miaka 50 nje ya ndoa SIZAIIII! Nyie mtoto unavomnyakwa shida baadae anageuka kama kikwazooo! Wanaume mna gubu nyieee, mbona mitoto yenu mnazaa nje mnalelewa?
Hata unune vipi, japo tunashukuru unamuhudumia lakini wewe sio biological father kwake. Biological father japo hana hio ada lakini ana haki ya kumuona mwanae.
Kwa hio huyo dada atakusaidia nini kwa mfano ZAIDI YA KUKUCHUNA? Hata ukimuoa huyo mpora mabwana za watu visa viko pale pale. Hivi hujiulizi kakubali wewe mwenye mke, ukimuoa hato mbwato na mabwana za watu? Unaruka mkojo unanda kukanyaga mavi.
Nilichoona umenogewa na vitatu
1) lift ya gari
2) penzi la huyo dada
3) Kusaidiwa matumizi
Hebu fanya kazi kwa juhudi acha kupenda miteremko kijana maana umeanza kujitetea kwenye mshahara
Kaeni muelewane kuhusu kuwalea hao watoto. Kama baba wa mtoto ana uwezo kaza msimamo asomeshe damu yake na kama uwezo wake ni mdogo msaidie kumsomeshea huyo mtoto mungu atakulipa mbele ya safari. Duniani tunapita tyuu brother huwez jua huyo mtoto baadae pia anaweza kuwasaidia watoto wako wa damu.
Mkuu yeye ndiye anayempa lift huyo mrembo.
Ndoa si lelema baba, kuwa wafanya kuoa mwaka huu likitokea tatzo unamuacha, ndoa yahitaj uvumilivu wa hali ya juu tn juu haswa. Na hyo story yako ni moja ya mtihan katika ndoa.. Hivyo piga moyo konde myazungumze hayo, yaishe na maisha yaendelee km kawaida. Lakn hamna kuachana hapo ndoa ya kikristo hyo.. Uvumilivu na punguza hasira, ongea nae akulelewee wew n mtu wa aina gan, na misimamo yako ni ipi. bhaaas
kwani wangapi wameoa wanawake wa kawaida tu ila still ndoa zao zimejaa mapichapicha kama filamu ya nsyuka?....mkuu cha msingi ni kuomba tu kupata mwanamke anaejielewa....kuna watu wameoa wanawake wenye watt na ndoa zao zina amani,wanaishi bila matatizo
Damu ni nzito kuliko maji aisee. Mwanamke akishazaa yule motto atakuwa kiunganishi kati ya mwanaume na mwanamke hata kama wameachana ipo siku watakutana na kukumbushia Enzi zao tu.
Nyie wote mliooa wanawake wenye watoto na wanaume wengine imekula kwenu. Kubalini kusaidiwa mara moja moja kwa sababu huwezi kujua walianzia wapi mpaka wakazaa mtoto.
Pole sana mkuu. Ni kweli baadhi ya wanandoa ambao mwanzo walikuwa na wapenzi na hadi kuzaa nao watoto pindi wanapoolewa/kuoa tena bado huwa na mahusiano na hao wapenzi wao wa zamani. Hii hutokana na sababu kwamba wanakuwa waliachana huku wakiwa bado wanapendana kwa kiasi fulani.
Km ni kweli una ushahidi tosha kuwa anatoka kimapenzi na mpenz wake wa zamani na kwa kuwa hadi maandiko matakatifu toka kwenye biblia yanasena mtu hatamwacha mwenzi wake ila tu ikiwa ni kwa sababu ya UZINZI.
Kaa naye umuulize na muongee vizuri. Kama atakiri na kukuomba msamaha basi MSAMEHE. Kama hatakiri basi ruhusu nafsi yako ifanye maamuzi
Dah...Tunajifunza kwa hili... Ilibaki kidogo tu niingie mkenge...!
Hili somo tosha, ya nini kujibebesha mizigo ya wengine wakati kila mwaka kuna watoto wazuri wanamaliza vyuo vikuu...!
Ngoja nikaipige chini hii iliyoniganda mapema....!!!
Ahsante!