Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,099
Usimwache Huyo Ni Wako, Na Ukimwacha Umefanya Dhambi. Kama Unataka Ushaur Ni Pm
Hapa pagumu sana hapa.Aiseee Unamlipia Mtoto Wa Mwenzio Ada Halafu Baba Yake Na Mkeo Wanaenda Kumuona Shule Daaaah! Ulifanywa Zuzu Mkuu
kwani wangapi wameoa wanawake wa kawaida tu ila still ndoa zao zimejaa mapichapicha kama filamu ya nsyuka?....mkuu cha msingi ni kuomba tu kupata mwanamke anaejielewa....kuna watu wameoa wanawake wenye watt na ndoa zao zina amani,wanaishi bila matatizoNi kosa ambalo sitakuja fanya.
Kuoa mwenye mtoto hapana aiseee maana mbeleni ni matatizo
kwani wangapi wameoa wanawake wa kawaida tu ila still ndoa zao zimejaa mapichapicha kama filamu ya nsyuka?....mkuu cha msingi ni kuomba tu kupata mwanamke anaejielewa....kuna watu wameoa wanawake wenye watt na ndoa zao zina amani,wanaishi bila matatizo
Ushauri wa bure
Oa mwanamke mweye mtoto ikiwa tu baba wa mtoto amekufa na si vinginevyo