Basi hapa ndo nilikuwa nafeli,maana huwa sina tabia ya kuomba twiceNami ndo maana nkamwambia awe na msimamo, wengine adi mnuniane wiki nzima akiona umekaza anashuka mambo yanaenda na ahadi zinaanza kutekelezeka, kitu mwanaume apendi ni kuona una jeuri ya kufanya mambo yako bila kumtegemea kwa kila jambo
Jaribu kufkiria kipind unafanya kazi na unapata hela ulikuwa na mchango gani kweny familia , ulikuwa na tabia gan za tofaut
Usije mlaumu mshkaj kumbe ww ndo umeyataka
All in all badilika inaonekana ukishika hela kidogo unakuwa tofaut ndo maan inampa shida yy kukuamini tena
Anza kumjengea uaminifu utampa moyo wa kukupa mtaj tena
MI ni mwanaume ila wanaume wengi ni kama Ma Mbwa, imeniuma sana, tafuta kazi tu taratibu; haya mandoa ni vidungo!
Mungu akisaidie na akupe wepesi ili hili jaribu likuache mapema, wanaume si watu wa kuamini kwenye pesa!
La Princesa pole sana
Kwanza jiondoe kwenye hilo group kwa sasa jipe muda wa kuchanganua mambo
Mzungumze na mume wako magumu unayopitia na kumuelewesha unahitaji kumtunza mzazi wako na pia akusaidie mawazo kwa pamoja kama familia namna ya kujikwamua kiuchumi na mengineyo.
🤣🤣🤣🤣🤣 anapotezea tu.Chezea wanaume akijua tu ana deni kwako
Kila siku atarudi hana mood ama kachoka,
I've been there namuelewa bi dada anachopitia
🤣🤣🤣 we kwanini uwe na jeuri, KE mwengine haishi visa tu maana si ana hela yake...Anakuwa anavimba tu, kitu hata unachomkataza asifanye anafanya makusudi maana hata ukimaindi haimstui ye anapeta tu. Si anajiweza bana...Nami ndo maana nkamwambia awe na msimamo, wengine adi mnuniane wiki nzima akiona umekaza anashuka mambo yanaenda na ahadi zinaanza kutekelezeka, kitu mwanaume apendi ni kuona una jeuri ya kufanya mambo yako bila kumtegemea kwa kila jambo
Wanawake wengi hupenda kuvimba vimba wakiwa na hela. Hawana ile akili ya kutulia na kusikiliza waume zao na ndio maana waume hutumia mbinu za kuwaachisha kazi ili kuwakata mapembe. Unakuta mke hata mapenzi hatoi kwa wakati, mara asingizie kuchoka mara vile..ubishi ubishi tu usio na maana.Jaribu kufkiria kipind unafanya kazi na unapata hela ulikuwa na mchango gani kweny familia , ulikuwa na tabia gan za tofaut
Usije mlaumu mshkaj kumbe ww ndo umeyataka
All in all badilika inaonekana ukishika hela kidogo unakuwa tofaut ndo maan inampa shida yy kukuamini tena
Anza kumjengea uaminifu utampa moyo wa kukupa mtaj tena
Mkataba wangu wa kazi uliisha nikatafuta kazi sehemu nyingine nikapata,mme wangu akanishawishi kuwa mshahara ni mdogo kuliko Mwanzo halafu ni mbali na yeye so bora nijiajiri huku nikiangalia fam kwa ukaribu
Toka nimeacha kazi,nakosa hata pesa ya mahitaji yangu muhimu,mtaji nilioahidiwa siuoni,nna madeni chungu nzima coz nawasomesha wadogo zangu wawili walikoko college(jamaa hajawi hata kunisupport na anajua situation ya nyumbani kwetu) inaniuma sana pale mama yangu anaponiomba hata elfu 20 nakosa ya kumpa wakati nikiwa kazini nilikuwa nampa pesa nyingi na kuhudumia fam bila shida..
Roho inaniuma coz ninashuhudia jinsi mme wangu na wanafamilia wenzie wanavyopanga budget ya matumizi ya wazazi wao (kwa whattsapp family group na amount ili wawapelekee wazazi wao wakati mimi mama yangu hana kitu kabisa..kwa kweli nimekata tamaa na sijui hata nifanye ninikuna wakati natamani hata kurudi kwetu ili nikajipange upya na kuanza upya maisha yangu ila nafsi inakataa
Note:mme wangu hajawahi kunikosea ni mambo kama hayo tu ndo yanayoniumiza,halafu anapenda niende kwao tu,hataki niende kwetu na wakati njia ya kwenda kwao ni lazima upite mkoani kwetu na mara nyingi tunakuwa na private car but kupita anakuwa mgumu sana..hivi wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa situations kama hizi mnazihandle vipi?NISAIDIENI NAKUFA kwa MAWAZO
PS: NSSF nao wananizungusha kweli kunipa kapesa kangu kadogo,nina imani nikikapata katanisaidia kuinuka tena
You have a bold heart mamii, sema jamaa yako spana sana a.k.a mkono wa birika.🤣🤣🤣Sina tatizo kabisa..nilikuwa nashiriki kwenye maendeleo ya fam kwa asilimia 100?imagine sometimes tulikuwa tunapata changamoto tunashauriana tukope kwenye kicobachangu theb tutashirikiana kulipa,but unakuta kwenye may be 2m na riba zake mimi nimelipa 1.5m yeye 500k coz unakuta muda wa marejesho umefika ukimwambia anadelay so inabidi nizame mfukoni mwenyewe
Pole sana dada binafsi nilishakutana na matatizo ya kukosa kazi na nssf najua jinsi yanavyotesa moyo hasa pale ukiwa na watu wanakutegemea.swala la kutembelea wazazi,kupita kwenu ama la naamini mkikaa wawili hamshindwi kulipatia ufumbuzi. swala la kukosa kipato na kazi dada hilo lako wewe usimlaumu mtu hata mumeo hausiki, maana naamini hajakukatalia kufanyakazi.jinsi ya kufanya sasa, sijajua umesomea nini ila tafuta kibarua chochote ili mradi uanze kupata kipato hata kidogo kikusaidie kusaidia kutatua baadhi ya shida zako.ukishapata hicho kibarua mfano kufundisha chekechea, kuuza duka, n.k tafuta kile cha ujuzi wako taratibu.nakutakia kila la kheriMkataba wangu wa kazi uliisha nikatafuta kazi sehemu nyingine nikapata,mme wangu akanishawishi kuwa mshahara ni mdogo kuliko Mwanzo halafu ni mbali na yeye so bora nijiajiri huku nikiangalia fam kwa ukaribu
Toka nimeacha kazi,nakosa hata pesa ya mahitaji yangu muhimu,mtaji nilioahidiwa siuoni,nna madeni chungu nzima coz nawasomesha wadogo zangu wawili walikoko college(jamaa hajawi hata kunisupport na anajua situation ya nyumbani kwetu) inaniuma sana pale mama yangu anaponiomba hata elfu 20 nakosa ya kumpa wakati nikiwa kazini nilikuwa nampa pesa nyingi na kuhudumia fam bila shida..
Roho inaniuma coz ninashuhudia jinsi mme wangu na wanafamilia wenzie wanavyopanga budget ya matumizi ya wazazi wao (kwa whattsapp family group na amount ili wawapelekee wazazi wao wakati mimi mama yangu hana kitu kabisa..kwa kweli nimekata tamaa na sijui hata nifanye nini😭😭kuna wakati natamani hata kurudi kwetu ili nikajipange upya na kuanza upya maisha yangu ila nafsi inakataa
Note:mme wangu hajawahi kunikosea ni mambo kama hayo tu ndo yanayoniumiza,halafu anapenda niende kwao tu,hataki niende kwetu na wakati njia ya kwenda kwao ni lazima upite mkoani kwetu na mara nyingi tunakuwa na private car but kupita anakuwa mgumu sana..hivi wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa situations kama hizi mnazihandle vipi?NISAIDIENI NAKUFA kwa MAWAZO
PS: NSSF nao wananizungusha kweli kunipa kapesa kangu kadogo,nina imani nikikapata katanisaidia kuinuka tena
Maneno ya kijiweni, hela ya mwanaume ni chungu, sisi mnatusemaga tunapenda hela ila ikifika kwenye kuhudumia familiya, wanawake ndo wanajitoa zaidi.Sasa mke wangu unaenda kazini mwisho wa mwezi unalipwa laki tatu wakati mshahara wangu milioni nne na ushehe niendelee kumuacha afanye hiyo kazi nina wazimu???
Tuliza akili mama nitakua nakulipa laki tano kila mwezi kaa hapa nyumbani
Umesomea nini na uko mkoa gani?Mkataba wangu wa kazi uliisha nikatafuta kazi sehemu nyingine nikapata,mme wangu akanishawishi kuwa mshahara ni mdogo kuliko Mwanzo halafu ni mbali na yeye so bora nijiajiri huku nikiangalia fam kwa ukaribu
Toka nimeacha kazi,nakosa hata pesa ya mahitaji yangu muhimu,mtaji nilioahidiwa siuoni,nna madeni chungu nzima coz nawasomesha wadogo zangu wawili walikoko college(jamaa hajawi hata kunisupport na anajua situation ya nyumbani kwetu) inaniuma sana pale mama yangu anaponiomba hata elfu 20 nakosa ya kumpa wakati nikiwa kazini nilikuwa nampa pesa nyingi na kuhudumia fam bila shida..
Roho inaniuma coz ninashuhudia jinsi mme wangu na wanafamilia wenzie wanavyopanga budget ya matumizi ya wazazi wao (kwa whattsapp family group na amount ili wawapelekee wazazi wao wakati mimi mama yangu hana kitu kabisa..kwa kweli nimekata tamaa na sijui hata nifanye nini😭😭kuna wakati natamani hata kurudi kwetu ili nikajipange upya na kuanza upya maisha yangu ila nafsi inakataa
Note:mme wangu hajawahi kunikosea ni mambo kama hayo tu ndo yanayoniumiza,halafu anapenda niende kwao tu,hataki niende kwetu na wakati njia ya kwenda kwao ni lazima upite mkoani kwetu na mara nyingi tunakuwa na private car but kupita anakuwa mgumu sana..hivi wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa situations kama hizi mnazihandle vipi?NISAIDIENI NAKUFA kwa MAWAZO
PS: NSSF nao wananizungusha kweli kunipa kapesa kangu kadogo,nina imani nikikapata katanisaidia kuinuka tena
Hii mpyaMume wako wa kwanza ni kazi yako(nmekumbuka tu huu usemi wa mama angu)