Najuta kuacha kazi

Najuta kuacha kazi

Duuh huyo jamaa katili,mimi changamoto za watoto wakati mwingine huwa zinanifanya nitamani kuacha kazi nilee watoto kwanza hadi wakue maana tunao watano na wamrpishana mwaka mmoja mmoja lakini mume wangu huwa ananitia moyo sana ananiambia watoto watakua tutasahau,kuacha kazi sio suluhisho, napata nguvu naendelea na kazi, sasa huyo wa kukwambia acha kazi halafu hakusapoti chochote ni katili sana
Mume wako wa kwanza ni kazi yako(nmekumbuka tu huu usemi wa mama angu)
 
Kuna watu wanataka wa take advantage..
Nikweli mkuu, kwasababu tu binti yupo desperate na sasa watatumia nafasi hii kwa kujifanya wafariji na mwisho wa siku wataishia kumtafuna na wamuachie manyoya.
Kisha baada ya hapo atarudi hapa na simulizi zilizo batizwa majina (mrejesho)
 
1.kwamda huwo mlioishi na mwenza wako kwenye ndoa + uchumba lazima utakua unamjua vizuri mwenza wako ilitakiwa uwe umejiongeza kwa namna yoyote ile upate njia mbadala ya kuingiza kipato mf kwa ela ya matumizi unayoachiwa kuibudget ukaingia vikoba mwisho wa siku ada za ndugu zako zisingekushinda

2. Mumeo akiwa chumbani kwenye mood nzuri ndosehemu ya kuomba vitu kama mitaji na mambo yanayoshabihiana na hayo,ruksa ya kwenda kwenu inaombwa hapo unataka kunambia hujafundwa wewe??miaka hiyo 6 yote kwenu hujaenda au?

Kuwa mpole na mnyenyekevu kwa mmeo atakupa ruksa ya kufanya haya unayoyaona magumu ila ukipewa nafasi usiinue mabega na kuonyesha dharau utaishia kuwekwa benchi

Cc Kingsmann
 
Nikweli mkuu, kwasababu tu binti yupo desperate na sasa watatumia nafasi hii kwa kujifanya wafariji na mwisho wa siku wataishia kumtafuna na wamuachie manyoya.
Kisha baada ya hapo atarudi hapa na simulizi zilizo batizwa majina (mrejesho)

Na wengi huwa wanaliwa kwa mtindo huu.
 
Duuh huyo jamaa katili,mimi changamoto za watoto wakati mwingine huwa zinanifanya nitamani kuacha kazi nilee watoto kwanza hadi wakue maana tunao watano na wamrpishana mwaka mmoja mmoja lakini mume wangu huwa ananitia moyo sana ananiambia watoto watakua tutasahau,kuacha kazi sio suluhisho, napata nguvu naendelea na kazi, sasa huyo wa kukwambia acha kazi halafu hakusapoti chochote ni katili sana
Watu hutofautiana ,mshukuru Mungu kwa kuwa na huyo mwelewa
 
Duuh huyo jamaa katili,mimi changamoto za watoto wakati mwingine huwa zinanifanya nitamani kuacha kazi nilee watoto kwanza hadi wakue maana tunao watano na wamrpishana mwaka mmoja mmoja lakini mume wangu huwa ananitia moyo sana ananiambia watoto watakua tutasahau,kuacha kazi sio suluhisho, napata nguvu naendelea na kazi, sasa huyo wa kukwambia acha kazi halafu hakusapoti chochote ni katili sana
Good for you my dear..sisi tuna watoto wawili
 
Lingekuwa ni ndani ya Uwezo wangu ningewashauri wanawake wote kutokuolewa na wanaume Wabinafsi na Wachoyo. Kuna wanawake wanaishi maisha ya tabu kupitiliza wakati mumewe ana kipato kizuri tu na hamjali. Nimeshuhudia kwa majirani zetu wawili inasikitisha kiukweli.

Pole dada
 
Duuh huyo jamaa katili,mimi changamoto za watoto wakati mwingine huwa zinanifanya nitamani kuacha kazi nilee watoto kwanza hadi wakue maana tunao watano na wamrpishana mwaka mmoja mmoja lakini mume wangu huwa ananitia moyo sana ananiambia watoto watakua tutasahau,kuacha kazi sio suluhisho, napata nguvu naendelea na kazi, sasa huyo wa kukwambia acha kazi halafu hakusapoti chochote ni katili sana
Good for you my dear..sisi tuna watoto wawili
 
1.kwamda huwo mlioishi na mwenza wako kwenye ndoa + uchumba lazima utakua unamjua vizuri mwenza wako ilitakiwa uwe umejiongeza kwa namna yoyote ile upate njia mbadala ya kuingiza kipato mf kwa ela ya matumizi unayoachiwa kuibudget ukaingia vikoba mwisho wa siku ada za ndugu zako zisingekushinda

2. Mumeo akiwa chumbani kwenye mood nzuri ndosehemu ya kuomba vitu kama mitaji na mambo yanayoshabihiana na hayo,ruksa ya kwenda kwenu inaombwa hapo unataka kunambia hujafundwa wewe??miaka hiyo 6 yote kwenu hujaenda au?

Kuwa mpole na mnyenyekevu kwa mmeo atakupa ruksa ya kufanya haya unayoyaona magumu ila ukipewa nafasi usiinue mabega na kuonyesha dharau utaishia kuwekwa benchi

Cc Kingsmann

I wish ungenijua vizuri usingesema hayo yote..ndugu zangu nawasomesha japo kwa tabu sana na vicoba bado nipo ila hata ununuzi wangu wa hisa umekuwa wa kusua sana..japo ninapita kwenye magumu i can still smile and thank God hata kwa yale madogo ninayoyafanikisha
 
Lingekuwa ni ndani ya Uwezo wangu ningewashauri wanawake wote kutokuolewa na wanaume Wabinafsi na Wachoyo. Kuna wanawake wanaishi maisha ya tabu kupitiliza wakati mumewe ana kipato kizuri tu na hamjali. Nimeshuhudia kwa majirani zetu wawili inasikitisha kiukweli.

Pole dada
Asante sana..Mungu ni mwema
 
Kuna wakati mimi na mke wangu huwa tunakaa na kujadili mambo kama haya humu ndani, na mwisho wa siku tunapata ya kujifunza kwa nadharia na mifano mingi kupitia MMU.
Basi mwisho wa siku tunajikuta mifano yenu ndio inakuwa tuitions zetu...teh
 
Kumbuka kuna Leo na kesho haupo kwamfano unafikir mkeo ataendeshaje familia ?? Kazi hana na wew ndio umeshafariki na milioni tatu zako familia inabaki njia panda kukurupuka sio kizuri hata kama mkeo anapokea senti tano bado kina umuhimu wake katika familia
Sasa mke wangu unaenda kazini mwisho wa mwezi unalipwa laki tatu wakati mshahara wangu milioni nne na ushehe niendelee kumuacha afanye hiyo kazi nina wazimu???

Tuliza akili mama nitakua nakulipa laki tano kila mwezi kaa hapa nyumbani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom