Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,100
- 8,213
Pole sana mpendwa jitahidi kumkumbushia mara kwa mara, jitahidi pia kufanya maomba ya kazi.
We ni me o ke?Unaacha kazi huna mradi hata wa 6M...binafasi siachi kazi mpaka niwe na Biashara 3 zenye capital ya 20M kilamoja zinazoniingizia turnover ya minimum 15M kwa mwezi...
Matter of time
Naomba nikulize swali
Je umewahi ongea na mume wako kwa hili?
Kipindi unakazi umewahi kufanya jambo lolote kwa ajili ya familia ya mumeo? Yan kununua vyakula au kuwatumia pesa wazazi wake bila ya yeye kukuambia ufanye hivo?
Kuna vitu vinaweza mpa mtu msukumo wa kufanya jambo kwa ajili yako au wazazi wako kama wewe unavifanya lakini kama hukuwahi fanya inaweza kuwa ngumu kidogo...
Lakini hujachelewa ongea na mumeo nina amini ataelewa tu
Kiufupi maisha yanawezekana kwenu,isipokua unapata uchungu kwa maana moyoni mwako hujabeba jukumu moja la familia yako,umebeba majukumu ya familia tatu,kwako,kwa mama na wadogo zako..yaani majukumu ya familia tatu maana hao wengine nao ni watu.na kwa mtindo huo ni kweli hutaweza na utaishia kulalamika na kuvunja mji kwa sababu ya familia za wengine hata kama ni ndugu au mzazi,simaanishi uwaache kama walivyo lakini hai yako na mumeo haitoshi kutunza familia tatu na hata kama mngekua na huo uwezo bado mngejenga udhaifu kwa watu hao wengine,yaani maisha ya kiAfrika ni tatizo sana...kaa na familia yako itazame hiyo
Mkuu mimi mwenyewe kufika hapa nilipo ni watu ndo wamenifikisha..by the way sisi tumelelewa na single mom coz mzee alifariki,kwa kipato cha mamangu hawezi kumudu kuwaangalia wadogo zangu wote wawili yeye peke yake,hata hivyo afya yake siyo stable sana ana complications kubwa kubwa mwilini mwake so hata kazi atakiwi kufanya kupita kiasi wala hatakiwi kuwa na stress...asante though
Kuhusu kuenda kwenu simlaumu... Hata kwenu watawashangaa wakiwa wanawaona mara kwa mara afu si unajua huwezi kwenda ukweni mikono mitupu mkuu
Maisha magumu... Nyumba mbiliKwani kwao anaendaga mikono mitupu kwani?
hata sukari kilo 1 anashindwaMaisha magumu... Nyumba mbili
pole dada jitahidi kutafuta kazi utafanikiwa tu.Mkataba wangu wa kazi uliisha nikatafuta kazi sehemu nyingine nikapata,mme wangu akanishawishi kuwa mshahara ni mdogo kuliko Mwanzo halafu ni mbali na yeye so bora nijiajiri huku nikiangalia fam kwa ukaribu
Toka nimeacha kazi,nakosa hata pesa ya mahitaji yangu muhimu,mtaji nilioahidiwa siuoni,nna madeni chungu nzima coz nawasomesha wadogo zangu wawili walikoko college(jamaa hajawi hata kunisupport na anajua situation ya nyumbani kwetu) inaniuma sana pale mama yangu anaponiomba hata elfu 20 nakosa ya kumpa wakati nikiwa kazini nilikuwa nampa pesa nyingi na kuhudumia fam bila shida..
Roho inaniuma coz ninashuhudia jinsi mme wangu na wanafamilia wenzie wanavyopanga budget ya matumizi ya wazazi wao (kwa whattsapp family group na amount ili wawapelekee wazazi wao wakati mimi mama yangu hana kitu kabisa..kwa kweli nimekata tamaa na sijui hata nifanye nini😭😭kuna wakati natamani hata kurudi kwetu ili nikajipange upya na kuanza upya maisha yangu ila nafsi inakataa
Note:mme wangu hajawahi kunikosea ni mambo kama hayo tu ndo yanayoniumiza,halafu anapenda niende kwao tu,hataki niende kwetu na wakati njia ya kwenda kwao ni lazima upite mkoani kwetu na mara nyingi tunakuwa na private car but kupita anakuwa mgumu sana..hivi wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa situations kama hizi mnazihandle vipi?NISAIDIENI NAKUFA kwa MAWAZO
PS: NSSF nao wananizungusha kweli kunipa kapesa kangu kadogo,nina imani nikikapata katanisaidia kuinuka tena
Mkuu, kutowa ushauri hapa sio jambo la lazima zaidi ya utashi tu.Ushauri toeni hapa hapa...mnaficha nini
Tatizo kubwa hapa ni wivu. Kwamba mume wako anawatunza wazazi wake lakini wewe huwezi kumtunza mzazi wako. Naamin hata yeye angekuwa hatumi hela kwao wala usingeumia kiasi hiki. Pia angekuwa haendi kwao, wala usingekuwa na shida. Women!Jealousy!
Mamy nimepita kwenye ndoa,Kosa ulilofanya ni kuacha kazi. Sijui mna ndoa ya aina gani ila mwanaume anaekushauri uache kazi wakati anajua hana mpango wa kukusaidia mtaji ni mbinafsi.
Anza kujikusanyia mtaji maana ukimsubiri yeye utaumia.Kusanya mtaji wako polepole anza kitu chako labda ndio atapata aibu aku support.
Wazo la kwenda home liondoe maana watakufurahia siku mbili baadae kwasabu huna msaada watakuona mzigo .Baki kwako pambana ufungue Biashara .
Na usipate stress hizo pesa zake imagine hazipo ili uwe na hasira ya kudunduliza zako.
Hapa ndipo kosa menu lilipo.. Ni ndoa yenye ubinafsi ndani yakeManofu,
Mkuu sidhani,unajua suala la yeye kutokunipa pesa au kunipa pesa kidogo sana (wakati ni mtu mwenye kipato cha kati,yaani salary yake si chini ya 3m per month)sikuwa naitilia maanani coz na mi nilikuwa nna kipato changu japo ni kidogo ila nilikuwa nnajimudu kwa almost kila kitu bila kumdisturb
Ungeanza kuwalaumu nssf kwanza kwa sababu unawadai. Mumeo humdai ni vile tu alikushauri uache kazi.Mkataba wangu wa kazi uliisha nikatafuta kazi sehemu nyingine nikapata,mme wangu akanishawishi kuwa mshahara ni mdogo kuliko Mwanzo halafu ni mbali na yeye so bora nijiajiri huku nikiangalia fam kwa ukaribu
Toka nimeacha kazi,nakosa hata pesa ya mahitaji yangu muhimu,mtaji nilioahidiwa siuoni,nna madeni chungu nzima coz nawasomesha wadogo zangu wawili walikoko college(jamaa hajawi hata kunisupport na anajua situation ya nyumbani kwetu) inaniuma sana pale mama yangu anaponiomba hata elfu 20 nakosa ya kumpa wakati nikiwa kazini nilikuwa nampa pesa nyingi na kuhudumia fam bila shida..
Roho inaniuma coz ninashuhudia jinsi mme wangu na wanafamilia wenzie wanavyopanga budget ya matumizi ya wazazi wao (kwa whattsapp family group na amount ili wawapelekee wazazi wao wakati mimi mama yangu hana kitu kabisa..kwa kweli nimekata tamaa na sijui hata nifanye nini😭😭kuna wakati natamani hata kurudi kwetu ili nikajipange upya na kuanza upya maisha yangu ila nafsi inakataa
Note:mme wangu hajawahi kunikosea ni mambo kama hayo tu ndo yanayoniumiza,halafu anapenda niende kwao tu,hataki niende kwetu na wakati njia ya kwenda kwao ni lazima upite mkoani kwetu na mara nyingi tunakuwa na private car but kupita anakuwa mgumu sana..hivi wanawake wenzangu mliopo kwenye ndoa situations kama hizi mnazihandle vipi?NISAIDIENI NAKUFA kwa MAWAZO
PS: NSSF nao wananizungusha kweli kunipa kapesa kangu kadogo,nina imani nikikapata katanisaidia kuinuka tena