1.kwamda huwo mlioishi na mwenza wako kwenye ndoa + uchumba lazima utakua unamjua vizuri mwenza wako ilitakiwa uwe umejiongeza kwa namna yoyote ile upate njia mbadala ya kuingiza kipato mf kwa ela ya matumizi unayoachiwa kuibudget ukaingia vikoba mwisho wa siku ada za ndugu zako zisingekushinda
2. Mumeo akiwa chumbani kwenye mood nzuri ndosehemu ya kuomba vitu kama mitaji na mambo yanayoshabihiana na hayo,ruksa ya kwenda kwenu inaombwa hapo unataka kunambia hujafundwa wewe??miaka hiyo 6 yote kwenu hujaenda au?
Kuwa mpole na mnyenyekevu kwa mmeo atakupa ruksa ya kufanya haya unayoyaona magumu ila ukipewa nafasi usiinue mabega na kuonyesha dharau utaishia kuwekwa benchi
Cc
Kingsmann