Najivunia kuzaliwa wa kike

Najivunia kuzaliwa wa kike

Wew mwanaume una balaa wew...unataka uuze adi nyumba ya urithi eee.
Yaan unataka utuhonge mimi na atoto kwa pamoja?

Mkuu ni kitu kinawezekana Kabsa ilimradi kila mmoja aoneshe ufundi wake hyo ndo sifa itakayo mfanya abaki uwanjan ikibidi aumiliki kabsa
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ex shem wew unachepuka sana..kila uzi una mchumba na utakoma mwaka huu utaachwa adi na huyo mpya.
Hahahaaaa
wajua my atoto hawezi kuniacha, hata nimletee mchepuko home, hata nije nimelewa haniachi...
 
Last edited by a moderator:
Uwiii umejuajeee...
Yaan masai dada anatulemazia wanaume wetu wawe mario.
Hamna kujihudumia mwenyewe ingali wanaume wapo.
Tutakuwa tumetenda dhambi na kuwalemaza wanaume wasiwajibike

hahahaha lakini inabii uwe strong ili umlee mwanao awe strong kama ukipata wa kiume
 
Last edited by a moderator:
Uwiii usitamani kuwa mwanaume maana ni mateso tuu.
Jivunie kuwa mwanamke dia kazi yako ni kuzaa tuu kila kitu unapewa hahahaaaaaaaa

inatakiwa uwe strong ili uzae watoto na uwaleee vyema kama ukipata mwanaume mtoto awe strong
 
hahahaaha najua tu ndo maana mpaka umefika hapa sijapita
ulikua umefunga vidole

ila ma sponsor wako ambao wanaweza wakakuoa hapo hapo kina mengi bado wapo
haahah cc Preta

Nilifunga vidole nikajisahau kidogo nikaachia mara nakuona huyu hapa, nikasema tobaaaaa, ila nashukuru sekta nyeti hujaigusa ukaishia huko kufanya kazi na kuzaa.
Tatizo lako kuchunga kulikuharibu sio kosa lako.
 
Last edited by a moderator:
bora mmalizane saa hivi..mana hiyo safari naenda kuformat ubongo wako wote..ukirudi humkumbuki mtu

Haya Eli79 kwaheri ya kuonana my dear, rip kwakweli.
 
Last edited by a moderator:
FYI prado gonna be my one n only..just a matter of tym babe! haaa

Si unaona usivyojielewa sasa!! Endelea kujipa mpyo na muda ndio huooo unakutupa mkono!!

Hahahaaaa na bado mie ndio mambo yananinyookea tu, dubai hiyoooo nikirudi hata sikukumbuki hata sura
 
Last edited by a moderator:
Uwiii umejuajeee...
Yaan masai dada anatulemazia wanaume wetu wawe mario.
Hamna kujihudumia mwenyewe ingali wanaume wapo.
Tutakuwa tumetenda dhambi na kuwalemaza wanaume wasiwajibike

Sijui nani alimharibu mpaka akaingilia majukumu yasiyo yake, inabidi naye nimuingize kwenye program ya maombi.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo ex shem wew unachepuka sana..kila uzi una mchumba na utakoma mwaka huu utaachwa adi na huyo mpya.
Hahahaaaa

Yaani awahi maji ya bahari maana sio kwa gundu hilo!
 
Wew mwanaume una balaa wew...unataka uuze adi nyumba ya urithi eee.
Yaan unataka utuhonge mimi na atoto kwa pamoja?

We muache nitamuuza hadi figo zote.
 
Last edited by a moderator:
Wew unaongelea million? Na akati wax ana marejesho alikopa kwenye microfinance.
Apo amekupangia kukupa elfu 50 tuu anajua ndo kahonga

Uwiiiiiii! Basi na apite mbali kwakweli inamaana hilo gari alokuwa anajitutumua nalo ni la mabox!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom