Najivunia kuzaliwa wa kike

Najivunia kuzaliwa wa kike

inapobidi tunasaidiana ila nina kanuni moja
siombi ela ila ukinipa sikatai

Mie nilijua ukipewa pia hupokei!! Kwani yeye anakusaidiaga kubeba mimba zile ulizosema unabebaga kila mwaka??
 
Hii ni gusa unate, ukiondoka unarudi tu, ila sasa shida ni kwamba itategemea km bado nakuhitaji, ila kwa wewe endelea tu na hilo prado la mabox yo gud for each aza.
Kwa hapo wala sina ubishi, kwa huo ..m..to!!!
 
Mie nilijua ukipewa pia hupokei!! Kwani yeye anakusaidiaga kubeba mimba zile ulizosema unabebaga kila mwaka??

sijawahi beba hata moja
wala sijawah mis period tangu my first menses

so sijajua kama atanisaidia ila kusaidiwa sio kusaidiwa uterus ya kumtundika mtoto
kimawazo,kusaidiwa majukum ya home na kipindi ambacho utakua uwez kufanya kazi atakua anakutunza
so bado still kuna msaada nauhitaj kwa mwanaume ila sio wa pesa kwa kiasi kikubwa kulinganisha na matunzo
 
Utakuwa unakutana na wanaojitambua pia, maana wale vichwa ngumu ulisema unawahonga mwenyewe.

leo jumapili nimuabishe shetani
sihongi ila nikiwa na mpenzi sioni miujiza kumsaidia pale inapobidi
yeye akinisaidia hawez kusema ananihonga na mimi nikimsaidia pia siwez kusema namhuhonga

kama kuna mahali nilisema nihizi porojo za jf tu
hahaa so zipuuze
 
am cute and i have everything to deserve someones money ila siwez utelekeza utu wangu kwa sababu ya pesa and those "am women staffs" najua role yangu kwenye mahusiano kwa hiyo ikitokea jamaa akaishiwa basi sioni so kumsaidia nitamkimbia kwa mambo mengine lakini sio swala la pesa japo napenda mwanaume anaejituma na mwenye dreams ambazo so far anafanya juhud kuzitimiza
na siwezi kuwa na mtu just for the sake of having mtu hata kama haeleweki noop
mi sio yesu siwezi badili maisha ya mtu lazima uwe na vionjo vyangu vile vile

hahahh kama kuna sehemu nilisema nahonga hizo ni porojo tu za jf naomba uzipuuze atoto
 
Last edited by a moderator:
sijawahi beba hata moja
wala sijawah mis period tangu my first menses

so sijajua kama atanisaidia ila kusaidiwa sio kusaidiwa uterus ya kumtundika mtoto
kimawazo,kusaidiwa majukum ya home na kipindi ambacho utakua uwez kufanya kazi atakua anakutunza
so bado still kuna msaada nauhitaj kwa mwanaume ila sio wa pesa kwa kiasi kikubwa kulinganisha na matunzo

We kuchunga na kukamua ndio kulikuponza ndo maana unaingilia majukumu ya watu, haya endelea tu kuwahonga.
 
leo jumapili nimuabishe shetani
sihongi ila nikiwa na mpenzi sioni miujiza kumsaidia pale inapobidi
yeye akinisaidia hawez kusema ananihonga na mimi nikimsaidia pia siwez kusema namhuhonga

kama kuna mahali nilisema nihizi porojo za jf tu
hahaa so zipuuze

Ndio hiyo hiyo kuhonga, hebu wakomaze usiwazoeshe kuwahonga bwana, unawahonga weeee mkiachana anakuwa kalemaa hata hayajui majukumu yake, ndio matokeo yake wanakuja kufungua nyuzi huku. Alafu nimekumbuka we si ulisema karibia unajifungua au imeyeyuka tena?
 
am cute and i have everything to deserve someones money ila siwez utelekeza utu wangu kwa sababu ya pesa and those "am women staffs" najua role yangu kwenye mahusiano kwa hiyo ikitokea jamaa akaishiwa basi sioni so kumsaidia nitamkimbia kwa mambo mengine lakini sio swala la pesa japo napenda mwanaume anaejituma na mwenye dreams ambazo so far anafanya juhud kuzitimiza
na siwezi kuwa na mtu just for the sake of having mtu hata kama haeleweki noop
mi sio yesu siwezi badili maisha ya mtu lazima uwe na vionjo vyangu vile vile

hahahh kama kuna sehemu nilisema nahonga hizo ni porojo tu za jf naomba uzipuuze atoto

Khaaaah! Unaona sasa balaa lako, huo utu unaouongelea hapo ni upi?? Mie nishakuzoea na hizi swaga zako, we wahonge tu ila jua unawalemaza, bora umuhonge yule ambaye unajua atakuwa mzigo wako mwenyewe kuliko unawaacha wanaenda kuwa mizigo kwa wengine, kuna vya kusaidiana na mwanaume ila sio pesa aisee maana ni dhambi pia, atafute mie msaidizi bora wa kumsaidia kuzitumia au sio.
 
Last edited by a moderator:
Khaaaah! Unaona sasa balaa lako, huo utu unaouongelea hapo ni upi?? Mie nishakuzoea na hizi swaga zako, we wahonge tu ila jua unawalemaza, bora umuhonge yule ambaye unajua atakuwa mzigo wako mwenyewe kuliko unawaacha wanaenda kuwa mizigo kwa wengine, kuna vya kusaidiana na mwanaume ila sio pesa aisee maana ni dhambi pia, atafute mie msaidizi bora wa kumsaidia kuzitumia au sio.

hahaha atoto bana

nitajiaidi sitawalemaza
 
am cute and i have everything to deserve someones money ila siwez utelekeza utu wangu kwa sababu ya pesa and those "am women staffs" najua role yangu kwenye mahusiano kwa hiyo ikitokea jamaa akaishiwa basi sioni so kumsaidia nitamkimbia kwa mambo mengine lakini sio swala la pesa japo napenda mwanaume anaejituma na mwenye dreams ambazo so far anafanya juhud kuzitimiza
na siwezi kuwa na mtu just for the sake of having mtu hata kama haeleweki noop
mi sio yesu siwezi badili maisha ya mtu lazima uwe na vionjo vyangu vile vile

hahahh kama kuna sehemu nilisema nahonga hizo ni porojo tu za jf naomba uzipuuze atoto

Lol wanaome wakiona hii watachekeleaje... watakupa na kazi ya kutuelimisha mimi na atoto
 
Last edited by a moderator:
Lol wanaome wakiona hii watachekeleaje... watakupa na kazi ya kutuelimisha mimi na atoto

Hiki kichwa mwenyewe unakijua, unadhani ni cha kuelimishwa kweli juu ya hili???
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom