tumieni artificial
Not onlu just a car, but which car?
Nilifunga vidole nikajisahau kidogo nikaachia mara nakuona huyu hapa, nikasema tobaaaaa, ila nashukuru sekta nyeti hujaigusa ukaishia huko kufanya kazi na kuzaa.
Tatizo lako kuchunga kulikuharibu sio kosa lako.
hahahaha lakini inabii uwe strong ili umlee mwanao awe strong kama ukipata wa kiume
We muache nitamuuza hadi figo zote.
First which kind of car u want
hahahah kuchunga na kukamua ng'ombe
Wapi huko?
hahahahaa... we haya tu, natamanije lakini....Si unaona usivyojielewa sasa!! Endelea kujipa mpyo na muda ndio huooo unakutupa mkono!!
Hahahaaaa na bado mie ndio mambo yananinyookea tu, dubai hiyoooo nikirudi hata sikukumbuki hata sura
La mabox
Wa kiume hutakiwi kumlemaza hata kidogo, lasivyo atakuwa kama hiki kizazi ambacho kazi kulalama tuuu kazi hawafanyi kuuuutwa wanalumbana na mabinti na kuwatungia majina, unadhani wangekuwa wakomavu tungepata shida basiiii, hata wewe usingehonga kamweee teh teh.
Kabisaaa ndio maana unatuharibia hawa wanaume, hebu lunguza kuwahonga bwana unawalemaza, unadhani watakuwa baba wa aina gani, sasa baba marioo unategemea watoto wawe na hali gani!!!
Nimekustukia wewe ni dume la mbegu...
hahaha mi sihongi ila pia sombi ela