Najivunia kuzaliwa wa kike

Najivunia kuzaliwa wa kike

Jamani my ex we nawe unazurura mnoooo!! Khaaah
Usijali ni cute b amehack ac yangu anajimwaya nayo humu.

Hahahaaa ex wako mwenyew anajua wew kichwa chako kilivyo hivyo humpi tabu kujua ni wew hahahaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa mkuu kazi ngumu zinazeesha.
Mimi nikifel tu nakimbilia kuolewaaa.

......Not real, siku hizi hata wale wanaooa wanawake waliofeli ni ambao wamefeli shule na maisha pia. Hongera sana kwa kufurahia kuzaliwa mwanamke ila mimi namshukuru Mungu kwa kuzaliwa mwanaume maana ile shughuli ya kujifungua na ile ya kila mwezi mmmh!!
 
Hahahaaa poleni.
Jitahidin muwe na watoto wa kike ili wasije kuteseka

Jisifuni kuzaliwa wakike sabab mlizaliwa mmekalia mitaji. Kufel kunawasukuma kuingia kwenye relations ambazo zitawanyma aman ya nafsi zenu. Mtalazwa bila ch*p* maisha, mnavumilia mengiiiii
 
huu uzi uko hot
binafsi najivunia kuwa mwanamke kwa kuwa napata nafasi ya kuwa mama na kuwa na watoto ambao mara nyingi nitabaki nao hata ikitokea vipi

ila natamani ningekua wa kiume nifanye kazi siku zote za mwaka ukitoa kuuumwa bila kujali period na mimba
 
Wapii wew wanaume wenye mikwala ya ivyo ni ma gogo kitandan kila saa anakwambia baby kalia.
So nitwkuja nile pesa zako ila najua hutanifanya adi nikikaa nijisikie kweli nimefanywa hahajhaaaa

Sawa.
nitumie jina lako kamili ukafate tiketi yako airport,nitakufanyia booking go and return,njoo nikupeleke Forodhani,tukale honeymoon Zhotel ni full cocktail na kwenda mbele.nakusubirikwa hamu.
 
Kwanza ondoa kauli yako, nani unamwita ex hapa! Hem' njoo kwanza unipe jotroo..

Hahahaaaaaa! Kwani wewe si uliondoka kwa mbwembweeee kisa umepata prado mkangafu? Mbona hata wiki haijaisha unajirudisha? Subiri kwanza nitoke dubai na Kaboom maybe nitakufikiria.
 
Last edited by a moderator:
Huyu mamy hataki kuhonga yeye anataka kazi na malipo so mwambie achanganue yebo sisi tunataka wahongaji.

Si ndio hapo sasa, ya moyoni yanahusikaje na pesa? Wakati mie nataka ya kwenye account.
 
Hahahaaa ex wako mwenyew anajua wew kichwa chako kilivyo hivyo humpi tabu kujua ni wew hahahaaa

Hahahaaa! Huyu ex naye hata simuelewi, aliniacha kwa mbwembwe huyoooo, ila nashangaa kila mahali nilipo lazima ajitokeze kunizibia riziki zangu, khaaaah!
 
huu uzi uko hot
binafsi najivunia kuwa mwanamke kwa kuwa napata nafasi ya kuwa mama na kuwa na watoto ambao mara nyingi nitabaki nao hata ikitokea vipi

ila natamani ningekua wa kiume nifanye kazi siku zote za mwaka ukitoa kuuumwa bila kujali period na mimba

Yaani wewe masai dada nilikuwa naombea usipite kabisa katika uzi huu maana unachangia kwa kiasi kikubwa mno kutuharibia wanaume, hivi nani alikufundishaga kuwahonga hawa watu nikamchape viboko!!!
Kwahiyo ndio kusema wewe kila mwaka unazaa jamani!!
 
Last edited by a moderator:
Shemeji naomba niwe na wewe...mwenzako hanitaki!!

Mweeeeh!! Hahahaaaaa utatapatapa sana mwaka huu, yaani mimi ni kisiki cha mpingo, hata yule mwenzio aliondoka kwa mbwembwe hivyohivyo ila akakiri kuwa alichemka kuondoka maana huko alipo hali ni tete ila ndio hana jinsi, sasa nawe endelea kuhangaika tu.
 
Hahahaaaaaa! Kwani wewe si uliondoka kwa mbwembweeee kisa umepata prado mkangafu? Mbona hata wiki haijaisha unajirudisha? Subiri kwanza nitoke dubai na Kaboom maybe nitakufikiria.

Atoto njoo nikuhonge ni PM fasta
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom