Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,899
- 183,250
Atoto njoo nikuhonge ni PM fasta
Unihonge how much? Sio unjitutumua hapa kumbe unanihonga ka milioni ka vocha tu.
Atoto njoo nikuhonge ni PM fasta
Yaani wewe masai dada nilikuwa naombea usipite kabisa katika uzi huu maana unachangia kwa kiasi kikubwa mno kutuharibia wanaume, hivi nani alikufundishaga kuwahonga hawa watu nikamchape viboko!!!
Kwahiyo ndio kusema wewe kila mwaka unazaa jamani!!
atoto wewe ni wa kike???"wa like" ndio nini hicho?
Yaani wewe masai dada nilikuwa naombea usipite kabisa katika uzi huu maana unachangia kwa kiasi kikubwa mno kutuharibia wanaume, hivi nani alikufundishaga kuwahonga hawa watu nikamchape viboko!!!
Kwahiyo ndio kusema wewe kila mwaka unazaa jamani!!
Unihonge how much? Sio unjitutumua hapa kumbe unanihonga ka milioni ka vocha tu.
Unihonge how much? Sio unjitutumua hapa kumbe unanihonga ka milioni ka vocha tu.
huu uzi uko hot
binafsi najivunia kuwa mwanamke kwa kuwa napata nafasi ya kuwa mama na kuwa na watoto ambao mara nyingi nitabaki nao hata ikitokea vipi
ila natamani ningekua wa kiume nifanye kazi siku zote za mwaka ukitoa kuuumwa bila kujali period na mimba
Shemeji naomba niwe na wewe...mwenzako hanitaki!!
Hahahaaa mkuu kazi ngumu zinazeesha.
Mimi nikifel tu nakimbilia kuolewaaa.
Sawa.
nitumie jina lako kamili ukafate tiketi yako airport,nitakufanyia booking go and return,njoo nikupeleke Forodhani,tukale honeymoon Zhotel ni full cocktail na kwenda mbele.nakusubirikwa hamu.
ukiolewa c kuna ile kazi ya ndoa au kwa sababu inaambatana na utamu
sema mimi nafurahi kuwa mwanaume nikifikiria kule labor wanavyoambiwa puuush puush push dah kwa hilo tu nashukuru kuzaliwa dume la mbegu ila nawapenda mmetuzaa shukrani kwa hiloIle sio kazi ile ni utraaaam tuu tena sisi tuna enjoy kuliko nyie
sema mimi nafurahi kuwa mwanaume nikifikiria kule labor wanavyoambiwa puuush puush push dah kwa hilo tu nashukuru kuzaliwa dume la mbegu ila nawapenda mmetuzaa shukrani kwa hilo