Najivunia kuzaliwa wa kike

Najivunia kuzaliwa wa kike

Aaah wanajitetea hapa ili tusipokee sijui kujiuza sijui umalaya, weee hela ya mwanaume unaachaje kuipokea kwamfano!! Kwanza wanaozitoa hata hawalalamiki wasio na za kutoa sasa wanaongea nusu mbingu ishuke.

Watoe wenye nazo maana hamna namna ambao hawana waumie tuu
 
Hahahaaaaa wanao honga kweli hawaongei hawa wanaoongea hapa wanahonga za vocha tuu

Hata hizo za vocha wanazo? Ndio hao ukimuomba hata vocha anakuja kukufungulia uzi jf, yaani ni majanga.
 
Hao wanao mind hawana cha kutoa wawqache wanaoweza kutoa watoe. Wao wang'ae tu sharubu.

Kabisaaaaaa! Mwanaume wa kweli anayajua majukumu yake kwa mwanamke wake, tena hata huombi unapewa tu, na ukiomba ujue ni zile za kufanyia big isues hata yeye anashindwa kuchomoa maana anajua una target, sasa hao wenzangu na mie ni kelele tuuuuuuuu na kufungua nyuzi wakati wenzao wanafungua acount tu.
 
Hii,! Mbona hii post imechangiwa sana? Imegusa wengi nini
 
Kabisaaaaaa! Mwanaume wa kweli anayajua majukumu yake kwa mwanamke wake, tena hata huombi unapewa tu, na ukiomba ujue ni zile za kufanyia big isues hata yeye anashindwa kuchomoa maana anajua una target, sasa hao wenzangu na mie ni kelele tuuuuuuuu na kufungua nyuzi wakati wenzao wanafungua acount tu.

Mwanaume wa kweli hata umuulizi yeye ni kutoa tu anajua mahitaji ya muhimu ya mwanamke sio hawa kina pangu pakavu tia mchuzi wanaona kumpa mwanamke ni kuhonga.
Hahaaaa tena hao wafungua nyuzi ndo hawana mbele wala nyuma.
 
Wao waendelee kujifariji tu na hayo maneno yao.

Hahahaaa yaan kulelewa raha sana.
Nina simu mbil smart phone zote nimehongwa na aliyenihonga anatumia nokia tochi.
Na drive gar la gharama kuliko aliyenihonga.
Najenga ndo namaliZia malizia but aliye niwezesha anaishi kotaz kwa nn nisijivunie kuwa ke?
 
Mwanaume wa kweli hata umuulizi yeye ni kutoa tu anajua mahitaji ya muhimu ya mwanamke sio hawa kina pangu pakavu tia mchuzi wanaona kumpa mwanamke ni kuhonga.
Hahaaaa tena hao wafungua nyuzi ndo hawana mbele wala nyuma.

Kabisa, yaani hali ziko icu, acha tupewe bwana maana ndio ilishaandikwa.
Wenye nazo wanahudumia tu kama ambavyo Kaboom anasubiri mfungo uishe anipeleke dubai, yaani no stress.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa yaan kulelewa raha sana.
Nina simu mbil smart phone zote nimehongwa na aliyenihonga anatumia nokia tochi.
Na drive gar la gharama kuliko aliyenihonga.
Najenga ndo namaliZia malizia but aliye niwezesha anaishi kotaz kwa nn nisijivunie kuwa ke?

Aaaah sana tu, maisha smooooooooth.
 
Hahahaaa mkuu kazi ngumu zinazeesha.
Mimi nikifel tu nakimbilia kuolewaaa.

Kuna wengi wanawake niliwaacha wakaolewa yaani nikikutana nao leo ni wabibi lol!! huo ulimwengu wa kufikirika usiwadanganye wenzako, eti uolewe uzae then usizeeke ptyuuuuuuuuuuuu
 
Hahahaaa umenichekesha mkuu...
Anga za mbali kwenda ni kawaida sawa na kuumwa mafua ...mbona nyie usiku mkilalaga mnajichafua?
Sisi tunabeba mimba na kuzaa na ndo kazi tuliyopewa na Mungu lakini nyie mmepewa kazi ya kutafuta pesa. Kwa nini mnaumia sasa?
Kupindwa stail za mahaba ni moja kati ya starehe zetu maana tusipopidwa dushe haligusi sehemu muafaka so ni raha tuuu tena kama mimi singoji kupindwa najipinda mwenyew. Kufika kileleni kwetu haina shida kiviiile.
Ata na sisi tunatongozwa na wengi alafu tunachagua mmoja wa kumkubali hahahaaaaaa
Sema kingine mkuu

wengine hawaelewi kuwa mwanamke kama wewe cute b wameumbwa spesheli kugegedwa, sasa mtu akisema anakukunja anakunanihii vitano... hawajui kama na wewe unaenjoy... hata kama utajidai kulia kishkaji na vikelele vya hapa na pale eti utaniua... hamna kitu, wizi mtupu. tunapopishana na wewe cute b ni kuigeuza p yako kitegauchumi yaani kuifanya sawa na mkokoteni wangu, au karai la mbeba zege... hapo tu sikuelewi!.
 
Back
Top Bottom