njoo huku utuone ma handsome lakini zipo vile vile,ulitarajia kuona wanaume mahandsome bar za buza au kwa bibi nyau?Wakuuu, Nauliza Kwa nini wanaume mahandsome hawana Hela? Maaana niko Baar hapa meza zimechafuka wanaume wako na mapc hatariii Lakini wanaume wabayaaaaa?
Huwa tunatingisha NYONYOO...Mungu hajatunyima vyote..!
Wewe sio pisi?Wakuuu, Nauliza Kwa nini wanaume mahandsome hawana Hela? Maaana niko Baar hapa meza zimechafuka wanaume wako na mapc hatariii Lakini wanaume wabayaaaaa?
Wako busy kutengeneza six pack
Duuuh huko siko mdau😂😂😂Huku sirari Mdau wewe uko wapi
Makulumbembe utayajua tu. Leo Uko huku? Twende kwenye siasa kuleNiko Hapa kwenye Baar moja, kuna hawa wapiga mziki wanapiga kwenye hiii baaar kuna Wimbo huo umepigwa Mzuri Sana wa sibabaishwi na suraaa napenda tabia njemaaaa, sasa Hapa kila meza ina mwanamke na mwanaume inaonesha hawa wenzangu ni wanawake wa pembeni maaarufu kidumu, sasa wanaume wooote ni wabaya kwa sura baraaa, Lakini wanamademu PC za Uhakika baada Ya huo Wimbo kupiga wametuliaaaa! Ili madume wao wapate hiyo message.
Lakini najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela? Maaana mmoja hapa nimeona kalipa bili laki na nusu ila Mimi nimetoka peke yangu.
Hata shuleni, mabinti wenye sura za baba zao uwa wanasoma kwa juhudi maana wanajua hawatopata masponsor. Same mtaani sisi wenye sura za kazi lazima tusake pesa otherwise mademu wazuri tutakuwa tunawaona insta tu.Niko Hapa kwenye Baar moja, kuna hawa wapiga mziki wanapiga kwenye hiii baaar kuna Wimbo huo umepigwa Mzuri Sana wa sibabaishwi na suraaa napenda tabia njemaaaa, sasa Hapa kila meza ina mwanamke na mwanaume inaonesha hawa wenzangu ni wanawake wa pembeni maaarufu kidumu, sasa wanaume wooote ni wabaya kwa sura baraaa, Lakini wanamademu PC za Uhakika baada Ya huo Wimbo kupiga wametuliaaaa! Ili madume wao wapate hiyo message.
Lakini najiuliza kwanini wanaume mahandsome hawana hela? Maaana mmoja hapa nimeona kalipa bili laki na nusu ila Mimi nimetoka peke yangu.
Hii nakazia kabisa bila doubt yoyoteSio hela tu wanaume ma handsome %kubwa wana vibamia
Halafu ni kweli kabisa hivi ni kwa nini?[emoji28][emoji28][emoji28]Hiyo toa akilini..mwanaume mzuri hanaga hela kbs..[emoji28][emoji28]!wale wachachu eh bwana eee[emoji119]
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787]Hata shuleni, mabinti wenye sura za baba zao uwa wanasoma kwa juhudi maana wanajua hawatopata masponsor. Same mtaani sisi wenye sura za kazi lazima tusake pesa otherwise mademu wazuri tutakuwa tunawaona insta tu.
Usiponiheshimu mimi utaheshimu pesa yangu, usiponipenda mimi utapenda pesa yangu. Over.
Sio kweli hata kidogo labda uliokutana nao weweHii nakazia kabisa bila doubt yoyote