No, ni kwasababu, hata kabla naniliu, hajananiliu, kulizuka minong'ono mingi kuhusu hali ya afya ya naniliu, na kwamba alikuwa hoi bin taaban, katika kujaribu kuokoa maisha yake, akakimbizwa kule naniliu, ikashindikana, ndio akananiliu akiwa kule, ikaonekana itakuwa ni aibu dunia ikijulishwa naniliu ali naniliu kule kwa ugonjwa wa naniliu, sasa kwa vile taifa lilishatangaziwa rasmi, alinaniliu tarehe fulani kwa ugonjwa wa naniliu, ukitoa sababu nyingine yoyote, au tarehe rasmi ya kunaniliu, utakuwa umemfanya naniliu naye, aonekane muongo, hivyo bora kuendelea kuamini kile tuu tulichotangaziwa rasmi.
P