Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Nnahisi kwa kuwa siaminigi kwenye true love na sijawahi kukutana na mtu wa kunishawishi nkajihisi na mie nnapenda au kupendwa inavyotakikana
Ipo siku utaelewa mkuu
 
Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.


Kama huyo demu ni wa Tanga, Mpare, ama wa Bukoba basi umekwisha.....utakuwa ushalishwa mavuzi yake yaliyochanganywa na yako na nywele za paka la baa. tena lile la Shilole, nyauuuuu!
 
Na huu ugumu wa maisha unamuwaza mwanamke kweli ? Wewe utakuwa kula kulala.
 
Jichanganye na masela.ji keep busy mzee .uko free home palilia hata bustani.

Jiusishe na michezo na mazoezi.Hakikisha ratiba yako inakua imejaa.hauna muda wa kupoteza hakikisha umechoka kama punda.hakika ukikifikia kitanda ukijilaza unashtuka kumekucha.Hutapata mda wa kumfikiria
 
mkuu iyo hela ya pombe embu tafuta gym mahali ulipie ukijikamua huko masaa 2 ukirudi umechoka akili imekuwa refreshed na unatafuta usingizi tuu, pombe itakusababishia matatizo mengi kuanzia ya kiuchumi mpaka ki afya kunywa pombe kwa kiasi cha kustarehe siyo kutatua tatizo
 
Braza pia pole sana hiyo hali imenikuta mimi baada ya mchepuko wangu kukata kunipiga chini tena sa ivi kamaanisha kuwa haoni future kati yetu so ana move on, hapo ndio nilijua mapenzi yanauma, afu mbaya yeye hataki kunipoteza kabisa nobaki kama rafiki bila faida ya penzi, nilichofanya ni kuzidisha mda wangu gym maana home nilishazoea kurudi saa 3
 
Kama alikua ni mpenzi wako wa kwanza kabisa sikulaumu kwa kumuwaza sana,lakini pombe sio tiba,tafuta mwingine huyo utamsahau taratibu tu,wewe sio mtu wa kwanza kupata hilo tatizo.
 
Back
Top Bottom