Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Every one need forgiveness and forgeteness so god give everything in you'r life but one thing you don't have. Don't worry Jesus become for you even those which disare happen to you but you need belive him and follow wherever you need.
 
Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.
Jipe time kaka. Alaf usi force kumsahau, hautafanikiwa. Jiweke busy sana na kazi zako, epuka kwenda sehem ambazo mlikuwa mkipenda kutembelea pamoja.
Nenda kanisan au msikitin, usipende kukaa mwenyewe, jichanganye na watu.

Ndan ya muda wa miez sita hiyo hali itapungua sana kama si kuisha.
 
Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.
Zungukia Mitaa ya Sinza au Kariakoo Mida ya kuanzia saa sita usiku for sure utamsahau kabisa
 
Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.

Tafuta mademu wawili wapya, piga papuchi
 
Hivi jaman wanawapaga nini hadi mtu unaachana nae afu still roho inakuuma wengine tukiachana na mtu ndani ya masaa 72 tu nshakusahau wakati mwingine chini ya hapo
 
Hivi jaman wanawapaga nini hadi mtu unaachana nae afu still roho inakuuma wengine tukiachana na mtu ndani ya masaa 72 tu nshakusahau wakati mwingine chini ya hapo
Mioyo ya watu iko tofauti, saaa kama ww unasahau ndani ya muda mchache. Wako ambao hawawezi.

Hiyo inaitwa true love. True love sio ngono tu, bali emotional attachment. Kuna spiritual connection.
Until hapo muhusika atakapo omba Mungu awatenganishe kiroho. Ndipo atapona
 
Jipe muda. Halafu tafuta vikasoro vyake vidogo vidogo utagundua hakuwa mkamilifu. Na pia hakukupenda usilazimishe.
 
Mioyo ya watu iko tofauti, saaa kama ww unasahau ndani ya muda mchache. Wako ambao hawawezi.

Hiyo inaitwa true love. True love sio ngono tu, bali emotional attachment. Kuna spiritual connection.
Until hapo muhusika atakapo omba Mungu awatenganishe kiroho. Ndipo atapona
Nimekupata vyema. Kwenye suala lake kweli hapo jibu ni kumuomba Mungu ndiyo atafanikiwa hayo masuala ya kunywa pombe hayasaidiagi hata siku 1
 
Binafsi ntakupa approach rahisi ya kumsahau mtu uliempenda sana. Nina imani kipindi cha uhusiano kuna mambo ambayo lazma ulikuwa huyapendi sana kutoka kwake, aidha tabia flani inayokwaza mfano kauli mbaya, uongo, uvivu n.k.

Jaribu kukumbuka mara zote alizokuudhi kikakuuma moyoni kisha jenga chuki kwake kwa maana ya kwamba hakuwa mtu sahihi kwako na isitoshe ye amekukosea sana kulazimisha muachane ni kutokujali hisia zako na dharau. Mchukie sana kwa kukuumiza kana kwamba hukustahili hilo na ye ni mpumbavu tu katika wanawake wote. Chana mapicha futa kumbukumbu zote mpaka namba yake ya simu futa. Jiamini we ni mwanaume mwenye wasifu wa kukamata mwali mwengine mkali zaidi yake, Ikibidi tafta mwanamke mwengine wa kuku keep busy mapema tu na hakika utamsahau dkk 0 tu.

Mie ndio hutumia mbinu hio kumsahau mtu na nafanikiwa vizuri mno. Inshort mi kumpunguza mtu katika cycle yangu ni dakika 0 achilia mpenzi, hata mshkaji ama ndugu anaezingua huwa namkatia moto tu..paap nakuwa sina habari nae kabisa hadi anaanza kujistukia ovyo na huwa sirudi nyuma.
 
Choose your own happiness.

Speak to your heart.

You lost your love yes but it wasnt meant to be.

Take time to heal and learn from the mistakes while you focus on being a better man in future.
Una point saba sema tatizo lako unaandika kizungu zaidi kuliko kikwetu, nalazimika kumshirikisha ras simba ili nikupate sawasawa, kuishi ughaibuni sana napo ni shida daaah! big up hata hivyo
 
Back
Top Bottom