Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Hapo ni mawazo tu. Unachotakiwa kufanya ni kutofikiria mazuri yake yote mliyofanya pamoja. Kuendelea kufikiria utazidi kujiumiza. Instead, fikiria kero maudhi, na karaha ambazo alishakufanyia, itakusaidia.
Kinachoniumiza zaidi ndugu ni mambo niliomfanyia sijui kama itakua rahisi kuyasahau nikikumbuka machozi yananitoka.
 
Hahaha... We endelea kuwanufaisha wauza pombe. Aliekwambia pombe ni dawa ya kufuta kumbukumbu nani?
Ishu ya mapenzi ni mda tu ndo utakusaidia... Jipe mda na ujiweke biza... Tafuta hobby ya kuweka mwili na akili bize na utakuja msahau
 
Wewe unakunywa bia mbili unataka ufute kumbukumbu? Umekula maharage ya wapi wewe?
 
Vipi Jack Daniel umekunywa?..kesho Una amka una mawazo nae Kabisa
 
Back
Top Bottom