Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Kinachokutesa hapo ni hiyo hali ya kukaa na kinyongo juu yake, kunywa pombe wala haitokusaidia chochote
 
Hahaaa.

Nitaacha basi.
Ungekuwa na time ungeandika na kukalimani kikwetu, nakufuatilia sana kila nikiona uzi/ mchango wako lazima niufuatilie sema shida inanikumba hapo tu maana kuna wakati unaandika hadi najiuliza huyu ni binti wa malkiaaaa niini! Kama umezaliwa nacho!
 
mwanamke anakuachaje braza???..ufuska wako au mlikutana kwa bahati mbaya....?
 
Hauko pekeako mzee tuko
Wengi n kupga tu moyo
Konde maana maji yakimwagika
Hayazolek
 
Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.

UTAMSAHAU TU
 
Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.
Utakua uliwekeza sana kwahuyo mrembo, wakati mwingine tuwekeze kiasi mana hawa viumbe hawatabiliki.
 
Aliyw kwambia kulewa ndo dawa sahihi ni nani? Huko ni kuongeza matatizo tu
 
Watu kwa kupenda mko vizuri, unaanzaje kumpenda mtu hadi unapitiliza. Angalau fanya vitu hivi muhimu:-
a). Uwe na mda wa kufanya mazoezi, angalau kwa dakika 20 hadi 30 kila siku.
b). Kuwa 'busy' na kazi unazozifanya.
c). Changamana na watu kwa stori mbalimbali, hii itakufanya umsahau mapema.
d). Sikiliza muziki.
e). Angalia 'movie' za action.

Ngoja na wengine waje kuongezea.
 
Choose your own happiness.

Speak to your heart.

You lost your love yes but it wasnt meant to be.

Take time to heal and learn from the mistakes while you focus on being a better man in future.
Asante sana Karucee.
 
Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.
Unaumri gani mkuu
 
Choose your own happiness.

Speak to your heart.

You lost your love yes but it wasnt meant to be.

Take time to heal and learn from the mistakes while you focus on being a better man in future.
Weee mwanamke bana , sijui hata nikuambeje yaan , unakila kitu ambacho huwa napenda mwanamke awe nacho.
 
Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.
jifunze next time never give your heart to woman/ girl utaepuka vingi......mwanamke mpe hela tu inatosha
 
Back
Top Bottom