DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
KulewaHivi raha ya pombe ni kunywa au kulewa
Itakuwa hujanywa pombe ya kutosha wewe[/QUOTE
Umewah kuonana nae au unam judge via jf.Weee mwanamke bana , sijui hata nikuambeje yaan , unakila kitu ambacho huwa napenda mwanamke awe nacho.
Nikweli kabisa ulichosema... Nanikweli kabisa sijawahi muona live wala hata simjui .Umewah kuonana nae au unam judge via jf.
All that glitters is not gold
Mkuu nakuelewa sana.Nikweli kabisa ulichosema... Nanikweli kabisa sijawahi muona live wala hata simjui .
Ila unajua nn , Nyota njema huonekana asubuhi , wala haiitaji kutumia nguvu au akil nyingi kujua Karucee ni super woman , wajua kipimo pekee cha kujua upeo wa mtu ni kusikiliza kwa umakini kile anachokisema..... Na naposema anakila kitu nachohitaji kwa mwanamke namaanisha ni Mzuri ( Uzuri wa mwanamke upo kichwan mwake mkuu)
Sasa mimi huwa napenda sana mwanamke kua na Akili yenye mawazo km yahuyu mkuu .
Mkuu nakuelewa sana.
pamoja na uzuri wa upstairs ambao nakuunga mkono kwa 100% ila uzuri wa sura nao ni ingredient muhimu ya kuzingatiwa.






uzuri wa sura nao ni ingredients 
nikweli ila sasa huo siwezi kuusemea mkuu maana simjui nasijawahi hata kumuona .uzuri wa sura nao ni ingredients
nikweli ila sasa huo siwezi kuusemea mkuu maana simjui nasijawahi hata kumuona .
Ngoja ikitokea nmemuona nitakuletea mrejesho Swahiba !!














Mwambie achukue hatua ziphahahaa pole
Hahaaaha mkuuu
ila brain iko njema.
Kama jimbo lipo wazi fanya fanya utangaze nia.


jimbo liwe wazi humu ?? Nakulivyojaa watangaza nia??
Si unajua wagombea ni weng ila wanaoshnda ni wachacheHahaaaha mkuuujimbo liwe wazi humu ?? Nakulivyojaa watangaza nia??
![]()
Hilo nalifahamu mkuu ,ila kwa kautafiti kangu ilo jimbo lina MbungeSi unajua wagombea ni weng ila wanaoshnda ni wachache

Unaweza kutengeneza mazingira huyo mbunge akajiuzulu jimbo lake ili aje akuunge mkono.Hilo nalifahamu mkuu ,ila kwa kautafiti kangu ilo jimbo lina Mbunge![]()
HujapendaHivi jaman wanawapaga nini hadi mtu unaachana nae afu still roho inakuuma wengine tukiachana na mtu ndani ya masaa 72 tu nshakusahau wakati mwingine chini ya hapo