Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Umewah kuonana nae au unam judge via jf.

All that glitters is not gold
Nikweli kabisa ulichosema... Nanikweli kabisa sijawahi muona live wala hata simjui .

Ila unajua nn , Nyota njema huonekana asubuhi , wala haiitaji kutumia nguvu au akil nyingi kujua Karucee ni super woman , wajua kipimo pekee cha kujua upeo wa mtu ni kusikiliza kwa umakini kile anachokisema..... Na naposema anakila kitu nachohitaji kwa mwanamke namaanisha ni Mzuri ( Uzuri wa mwanamke upo kichwan mwake mkuu)

Sasa mimi huwa napenda sana mwanamke kua na Akili yenye mawazo km yahuyu mkuu .
 
Nikweli kabisa ulichosema... Nanikweli kabisa sijawahi muona live wala hata simjui .

Ila unajua nn , Nyota njema huonekana asubuhi , wala haiitaji kutumia nguvu au akil nyingi kujua Karucee ni super woman , wajua kipimo pekee cha kujua upeo wa mtu ni kusikiliza kwa umakini kile anachokisema..... Na naposema anakila kitu nachohitaji kwa mwanamke namaanisha ni Mzuri ( Uzuri wa mwanamke upo kichwan mwake mkuu)

Sasa mimi huwa napenda sana mwanamke kua na Akili yenye mawazo km yahuyu mkuu .
Mkuu nakuelewa sana.

pamoja na uzuri wa upstairs ambao nakuunga mkono kwa 100% ila uzuri wa sura nao ni ingredient muhimu ya kuzingatiwa.
 
Mkuu nakuelewa sana.

pamoja na uzuri wa upstairs ambao nakuunga mkono kwa 100% ila uzuri wa sura nao ni ingredient muhimu ya kuzingatiwa.
uzuri wa sura nao ni ingredients nikweli ila sasa huo siwezi kuusemea mkuu maana simjui nasijawahi hata kumuona .

Ngoja ikitokea nmemuona nitakuletea mrejesho Swahiba !!
 
Hivi jaman wanawapaga nini hadi mtu unaachana nae afu still roho inakuuma wengine tukiachana na mtu ndani ya masaa 72 tu nshakusahau wakati mwingine chini ya hapo
Hujapenda
 
Back
Top Bottom