Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Najitaidi kulewa ili nimsahau lakini wapi?

Hapo ni mawazo tu. Unachotakiwa kufanya ni kutofikiria mazuri yake yote mliyofanya pamoja. Kuendelea kufikiria utazidi kujiumiza. Instead, fikiria kero maudhi, na karaha ambazo alishakufanyia, itakusaidia.
 
Epika kufanya vitu ambavyo mlikua mnafanya pamoja, kama kunywa pombe, going movies nk. Utamsahau tu..
 
Nalewa lakini akili haitaki kumsahau mpenzi nilieachana nae.nifanye nini jamani?nimeamini kuna wanawake ni kama sumaku ndani ya moyo au ndo limbwata jamani ndio liko hivyo,Mainteligencia mnahitajika humu njooni mnisaidie.

Ukitaka kulewa unasahau fanya hivi, chukua k-vant ndogo moja, konyagi ndogo moja, safari kubwa moja, niagieni moja, choya lita moja, gongo vijiko vitano, sprite moja, balimi moja, pilsner king mbili changanya vyote kwenye ndoo ya lita kumi. Harafu jifungie ndani kunywa yote umalize then tafta sigara aina ya nyota vuta yote husipomsahau nipe namba yake ya simu.
 
Back
Top Bottom